WATANZANIA WATAKIWA KUONGEZA KASI YA KUNYWA CHAI
Na Aziza Masoud, Dodoma BODI ya Chai nchini imesema asilimia 10 pekee ya watanzania wanakunywa chai nchini na kwamba asllimia kubwa inayobaki inapelekwa nje. Akizungumza katika Maonesho ya Kimataifa ya Wakulima Nane nane,Afisa Mkuu wa Mipango na Uhamasishaji wa Bodi ya Chai Tanzania, Godlove Myinga, alisema asilimia 10 pekee ya chai inayozalishwa nchini ndiyo inayotumiwa…

