MAENEO YALIOATHIRIWA NA MVUA BARABARA YA DAR-LINDI-MTWARA YOTE NI SHWARI
Barabara ya Dar es salam-Lindi-Mtwara sasa imerejea katika hali ya kupitika baada ya kukamilika urejeshaji…
Na Mwandishi Wetu,Morogoro Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba (Mb) ameridhishwa na kasi ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa Bwawa la kuhifadhi maji la Kidunda na kubainisha kuwa kukamilika kwa mradi huo wa bilioni 336 kutachochea ukuaji wa maendeleo ya jamii kwa wakazi wa Mikoa ya Dar es Salaam…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imeendelea kuvunja rekodi yake ya ukusanyaji wa wa mapato yatokanayo na kodi ambapo kwa mwezi Desemba pekee imekusanya Sh. Trilioni 4.13 kwa sawa na ufanisi wa asilimia 102.9 ya lengo ambalo lilikuwa ni kukusanya Sh. Trilioni 4.01. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es…
Na Mwandishi Wetu Dar es Salaam MWAKA 2025 umeandika historia mpya kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kufuatia mafanikio makubwa yaliyopatikana katika ukusanyaji wa mapato, upanuzi wa wigo wa kodi, na uimarishaji wa mahusiano kati ya TRA na Walipakodi. Mafanikio haya yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na mwelekeo mpya wa utoaji huduma unaolenga ushirikishwaji, elimu, na…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limewakumbusha wateja wake kutumia nishati safi yakupikia kwakutumia vifaa vya umeme vinavyotumia umeme nafuu katika msimu huu wa sikukuu. Kupitia video iliyotolewa na Tanesco inayoonyesha wananchi wakifurahia matumizi ya nishati safi ya umeme kwa kupikia kwakutumia vyombo mbalimbali vya umeme ikiwemo majiko ya umeme ambayo…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam KAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) Yusuph Mwenda ameitaka jamii kusaidia watoto wanaoishi katika mazingira magumu ili waweze kukamilisha ndoto zao na kufikia malengo waliyojiwekea. Kamisha Mwenda ametoa kauli hiyo wakati akitoa msaada kama sehemu ya kuadhimisha mwezi wa mlipa kodi katika vituo vyakulelea watoto yatima cha Hisani…
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam WIZARA ya Vijana imejipanga kuhakikisha inawafikia vijana kwa urahisi kwakuanzisha Jukwaa la Kidigitali la Huduma Jumuishi (Youth Digital One Stop Platform) ili kuwezesha upatikanaji wa taarifa za ajira,mafunzo,fursa za mikopo,masoko na huduma nyingine. Akizungumza jana Waziri wa Vijana Joel Nanauka alisema katika falsafa ya wizara ya utoaji wa huduma,…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam WATANZANIA wameaswa kutofuata mikumbo na kufanya vurugu kwakigezo chakutafuta uhuru wa kisiasa kwakuwa demokra ya kweli haijengwi kwa mashinikizo, vitisho au siasa za misimamo mikali, bali hudaiwa kwakujenga hoja, ushindani wa sera na heshima kwa katiba na sheria za nchi. Akizungumza jijini Dar es Salaam l3o Desemba 23, 2025 aliyekuwa…
Na Aziza Masoud,Dar es Salaam SERIKALI imesema kuwa ulinzi wa mtoto na makundi maalum ni jukumu la familia, jamii na Taifa kwa ujumla hivyo ni vizuri kushirikiana na serikali kwakuwa kwa sasa imeendelea kuchukua hatua za kuimarisiha malezi bora ya watoto na kuzuia vitendo vya ukatili. Akizungumza jana Desemba 22, 2025 jijini Dar es Salaam …
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam WIZARA ya Uchukuzi imewataka wahitimu na wadau mbalimbali wa sekta ya uchukuzi kupanga mipango yao kulingana na Dira 2050 yenye lengo la kukuza uchumi wa buluu kupitia sekta ya usafirishaji funganishi. Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Uchukuzi David Kihenzile katika mahafali ya 21 ya Chuo Cha Bahari Dar…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MKUU wa Wilaya ya Ubungo (DC), Mheshimiwa Abert Msando ametembelea na kukagua hali ya huduma ya upatikanaji maji kata ya Mburahati wilayani humo huku akitoa maelekezo kufufuliwa kwa visima vinne katika Kata hiyo na wananchi waanze kupata huduma ya maji. “Leo tumeanza na kata ya Mburahati, tumepita katika visima vinne…