MAENEO YALIOATHIRIWA NA MVUA BARABARA YA DAR-LINDI-MTWARA YOTE NI SHWARI
Barabara ya Dar es salam-Lindi-Mtwara sasa imerejea katika hali ya kupitika baada ya kukamilika urejeshaji…
Na Benny Mwaipaja, Banjul, Gambia Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), ameongoza ujumbe wa Tanzania katika ufunguzi wa Mkutano wa African Caucus wa Mwaka 2026, jijini Banjul nchini Gambia, uliofungiliwa na Rais wa nchi hiyo Mhe. Adama Barrow, ambapo msisitizo mkubwa umewekwa katika Bara la Afrika kuongeza uwezo wake wa kujitegemea kwa…
📌 TANESCO yaeleza matumizi ya umeme katika magari, bajaji na pikipiki 📌 Pikipiki ya umeme hutumia uniti 3 pekee kusafiri hadi kilometa 130 Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Wananchi wamehimizwa kutumia umeme katika vyombo vya usafiri ili kupunguza gharama za uendeshaji na kuchangia matumizi ya nishati safi na yenye ufanisi. Akizungumza Julai 5, 2026…
Na Benny Mwaipaja, Banjul, Gambia Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), amewasili Banjul nchini Gambia kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa African Caucus wa 2026, utakaofanyika kuanzia jumatatu tarehe 6 Julai, 2026,unatarajiwa kuwa tukio muhimu litakalowakutanisha viongozi wa Afrika, watunga sera, wataalamu wa fedha, washirika wa maendeleo, na wawakilishi wa taasisi za…
Na Mwamdishi Wetu,Dar es Salaam Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) imemkabidhi rasmi mwanautalii na mtangazaji wa vivutio vya utalii kutoka Oman, Khalid Hamed Al Barwani, Ubalozi wa Hiari wa Utalii wa Tanzania, ikiwa ni hatua ya kimkakati ya kuimarisha juhudi za kuitangaza Tanzania katika masoko ya kimataifa na kuongeza idadi ya watalii wanaotembelea nchini. Ubalozi…
Na Aziza Masoud,Dar es Salaam MAMLAKA ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA) imewahimiza wananchi kutembelea banda lake katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) ili kupata elimu kuhusu huduma za maabara, matumizi salama ya kemikali na uchunguzi wa sampuli mbalimbali. Akizungumza katika maonesho hayo, Mkurugenzi wa Uchunguzi…
Na Aziza Masoud,Dar es Salaam Serikali imeanza kuweka msingi wa mfumo wa kisheria na kitaasisi utakaosimamia utekelezaji wa mpango wa kuzalisha umeme wa nyuklia nchini, ikiwa ni hatua muhimu ya kuhakikisha teknolojia hiyo inatekelezwa kwa kuzingatia viwango vya usalama wa kimataifa. Akizungumza leo Juni 5, 2026 Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam SHIRIKA la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) amesema imejipanga kuongeza idadi ya nyumba zitakazounganishwa na huduma ya gesi asilia kwa ajili ya kupikia majumbani ambapo wanatarajia kuunganisha nyumba zaidi ya 1000. Akizungumza katika Maonesho ya Biashara ya 50 yanayofanyika katika Viwanja vya Maonesho ya Biashara ya Dar es Salaam (DTIF)…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) wamezindua Nyumba Janja yenye mfumo wa kisasa wa unaosaidia kuongeza usalama wa nyumba kwa kupunguza hatari za majanga kama moto na ajali nyingine zinazosababishwa na hitilafu za umeme pindi zinapojitokeza. Nyumba hiyo janja ambayo ni kivutio kikubwa katika Maonesho Maonesho ya 50 ya Biashara ya…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam VIJANA wamehamasishwa kuchangamkia fursa zilizopo katika miradi ya nishati safi ya kupikia pamoja na kuchangamkia fursa za uwepo wa mirasi ya usambazaji umeme maeneo ya vijijini na pembezoni mwa miji kwa kuanzisha biashara na shughuli za kuwaletea maendeleo. Rai hiyo imetolewa Juni 4, 2026 na Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati…
Na Aziza Masoud,Dar es Salaam MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la Maawasiliano Tanzania (TTCL) Moremi Marwa amesema wamefanya mabadiliko makubwa yakimfumo ili waweze kutengeneza faida zaidi kupitia huduma wanazozitoa hivyo kwa sasa kipindi cha kutengeneza hasara kimekwisha na sasa wanajiendesha kisasa zaidi. Marwa ametoa kauli hiyo leo Juni 4, 2026 alipotembelea banda la TTCL katika viwanja…