
MAENEO YALIOATHIRIWA NA MVUA BARABARA YA DAR-LINDI-MTWARA YOTE NI SHWARI
Barabara ya Dar es salam-Lindi-Mtwara sasa imerejea katika hali ya kupitika baada ya kukamilika urejeshaji…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam SIKUmoja baada ya viongozi wa matawi na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Kunduchi kuandamana hadi ofisi za chama hicho mkoa wa Dar es Salaam kulalamikia kukatwa kwa jina la aliyekuwa diwani wa kata hiyo Michael Urio, jina hilo limerejeshwa katika orodha ya wagombea. Awali kabda ya kupitishwa…
Na Mwandishi Wetu,Dodoma RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa kiasi cha shilingi bilioni 15 kwenye mradi wa kuzalisha umeme wa Mwenga Hydro Ltd uliopo Wilaya ya mufindi mkoani Iringa. Hayo yamebainishwa leo Julai 31, 2025 wakati wa ziara ya Bodi ya Nishati Vijijini (REB) ilipotembelea na kukagua mradi…
Na Mwandishi Wetu, Pwani SERIKALI imewataka wakuu wa taasisi za umma kutengeneza mazingira rafiki ya kazi yatakayowawezesha watumishi kuongeza tija na ubunifu katika utekelezaji wa majukumu yao. Kauli hiyo ilitolewa na Mhe. Ridhiwani Kikwete, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana na Wenye Ulemavu, alipokuwa akifunga mafunzo elekezi ya siku nne kwa…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imeyataka makundi mbalimbali ya kijamii nchini kuyatumia majukwaa yao kuwahamasisha wananchi kushiriki kwa wingi katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025. Wito huo umetolewa leo, tarehe 31 Julai 2025, jijini Dar es Salaam na Mwenyekiti wa Tume hiyo, Mheshimiwa Jaji wa Mahakama ya…
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam RAIS Dk.Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua Kituo cha Cha Biashara na Usafirishaji cha Afrika Mashariki (EACLC) kilichopo Ubungo kesho ambapo kina maduka 2000 ya biashara pamoja na miundombinu nyingine. Akizungumza jijini leo Julai 30, 2025,Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila alisema kituo hicho kilichojengwa na serikali…
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imewataka wawakilishi wa taasisi na asasi za kiraia kuhakikisha wanatoa mawazo ambayo yatasaidia kuepusha dosari ambazo zinaweza kujitokeza na kuathiri utekelezaji wa shughuli za uchaguzi. Akizungumza leo Julai 30, 2025 wakati wa kufungua kikao cha wadau hao,Mwenyekiti wa INEC Jaji wa Rufani…
Na Mwandishi Wetu ,Dodoma NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa asilimia 80 ya vifo nchini vinaweza kuzuilika endapo Watanzania wataamua kubadili mtindo wa maisha ikiwemo kuwa na utaratibu wa kufanya mazoezi ya mara kwa mara. Amesema hayo tarehe 27 Julai, 2025 jijini Dodoma wakati akimwakilisha Waziri Mkuu, Mhe….
Na Asha Mwakyonde, DODOMA TUME ya Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), leo imezindua Kalenda ya Uchaguzi Mkuu mwaka 2025, Oktoba 29, 2025 Siku ya Jumatano Itakuwa ndiyo Siku ya Kupiga Kurahuku ikiwataka wadau wote ikiwa ni pamoja na wananchi kushiriki kikamilifu katika mchakato wa uchaguzi kwa kuzingatia sheria, kanuni, miongozo na maelekezo yatakayotolewa na…
Na Aziza Masoud,Dar es Salaam MKURUGENZI wa Kampuni ya MILLEN ,Millen Happiness Magese ameishauri jamii kuachana na fikra potofu kwamba urembo ni uhuni kwakuwa majukwaa hayo yanahamasisha wanawake kujitambua na kujiamini. Millen ambaye ndiye muandaaji wa shindano la Miss Universe kwa upande wa Tanzania alitoa kauli hiyo jijini Dar es Salaam wakati akizungumza na wa…
Na Aziza Masoud,Dar es Salaam WADAU watakiwa kushirikiana katika kutoa elimu ya usalama na maendeleo ya kijamii kwa wanafunzi wangali bado vijana ili kuwekeza katika Taifa salama la badae. Akizungumza katika shule ya sekondari ya Ndalala wakati wa uzinduzi wa mradi wa Via Creative unaosimamiwa na kampuni ya nishati ya Total Energy,Kaimu Katibu Tawala Wilaya…