
MAHAKAMA YATUPILIA MBALI RUFANI THE CITIZEN DHIDI YA MCHECHU
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MAHAKAMA ya Rufani ya Tanzania jana imetoa uamuzi wake katika Rufaa Namba 658 ya mwaka 2023, iliyowasilishwa na Mwananchi Communications Ltd pamoja na Mhariri wa The Citizen Newspaper dhidi ya Nehemia Kyando Mchechu, na kutupilia mbali maombi hayo kwa kukubaliana na maamuzi ya Mahakama Kuu yaliyotolewa Machi 3, 2023. Katika…