Aziza Masoud

MAYAMBA KUWAWEZESHA VIJANA KIUCHUMI.

Na Mwandishi Wetu,Misenyi Mkuu wa Wilaya Misenyi Hamis Mayamba Maiga amewezesha Vijana kibiashara katika Wilaya hiyo kwa kuwapatia Mahema ili kuboresha Mazingira ya kibiashara nakuweza kukuza Uchumi wao. Mradi huo unatekelezwa na TCCIA Wilaya Misenyi kwa ushirikiano na AGRA, ukiwa na lengo la kukuza biashara za mpakani na kuongeza usalama wa shughuli za kiuchumi. ‎‎Uzinduzi…

Read More

REA, TANESCO WATAKIWA KUSHIRIKIANA KUONGEZA IDADI YA WATEJA VIJIJINI

Na Mwandishi Wetu,Arusha MWENYEKITI wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB), Balozi Meja Jenerali Mstaafu Jacob Kingu, ametoa rai kwa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kutoa kifaa maalum (Ready boards) ambacho kitawezesha wananchi kusaidia kupunguza gharama kubwa za kuunganisha mfumo wa kupokelea umeme nyumbani (wiring) kwenye miradi ya umeme vijijini….

Read More

BUGURUNI VIZIWI YAIBUKA KIDEDEA MASHINDANO YA ELIMU YA USALAMA BARABARANI

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam  SHULE ya Msingi ya Buguruni Viziwi imeibuka mshindi wa kwanza kitaifa katika mashindano ya ubunifu wa elimu ya usalama barabarani kwa mwaka 2025 (VIA Creative 2025), yanayoendeshwa na Kampuni ya Total Energies kwa kushirikiana na TotalEnergies Foundation pamoja na NafasiArt Space. Washindi wa mashindano hayo ambayo yenye lengo la kuhamasisha…

Read More

TRA YAWAHAKIKISHIA WAFANYABIASHARA USALAMA WA BIASHARA ZAO

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Juma Mwenda leo tarehe 13.11.2025 amefanya ziara katika soko la Kimataifa ya Kariakoo jijini Dar es Salaam na kuwahakikishia wafanyabiashara usalama wa biashara zao. Akiwa sokoni hapo Kamishna Mkuu amekutana na viongozi wa wafanyabiashara na wamachinga pamoja na wafanyabiashara wenyewe…

Read More

TTCL:WATANZANI WANATAKA HUDUMA BORA NAFUU ZA INTANETI

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam SHIRIKA  la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limesema  kuwa  uchunguzi walioufanya  wamebaini kuwa watanzania wanahitaji huduma bora za intaneti lakini za bei nafuu na kuahidi kuendelea kuboresha huduma zao kulingana na uhitaji. Akizungumza wakati wa kuzindua kifurushi kipya cha T-Fiber,Meneja wa Promosheni wa TTCL Janeth Maeda,alisema wameendelea kusikiliza maoni,mahitaji, na matarajio ya…

Read More