Aziza Masoud

MAGESE:UREMBO SIO UHUNI

Na Aziza Masoud,Dar es Salaam  MKURUGENZI wa Kampuni ya MILLEN ,Millen Happiness Magese ameishauri jamii kuachana na fikra potofu kwamba urembo ni uhuni kwakuwa majukwaa hayo yanahamasisha wanawake kujitambua na kujiamini. Millen ambaye ndiye muandaaji wa shindano la Miss Universe kwa upande wa Tanzania alitoa kauli hiyo jijini Dar es Salaam wakati akizungumza na wa…

Read More

BODABODA WANAOBEBA MIZIGO MIKUBWA WAONYWA

Na Aziza Masoud, Dar es Salaam JESHI la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani kimekemea tabia ya baadhi ya madereva wa pikipiki kubeba mizigo hatarishi inayozidi ukubwa wa vyombo vyao kama milango, mageti au makabati kwakuwa  inachangia kusababisha ajali za barabarani. Kauli hiyo ameitoa mwanzoni mwa wiki jijini Dar es Salaam na Mkuu wa Usalama Barabarani Chang’ombe,…

Read More

MAHAKAMA KUU DIVISHENI YA BIASHARA,NGUZO YA HAKI,UKUZAJI UCHUMI WA TAIFA

Na Mwandishi Wetu,Dodoma KATIKA mazingira ya sasa ya kiuchumi yanayoendelea kubadilika kwa kasi, upatikanaji wa haki kwa haraka, haki na usawa ni msingi muhimu kwa ukuaji wa uchumi na ustawi wa Taifa. Mahakama Kuu ya Tanzania, kupitia Divisheni ya Biashara, imekuwa chombo mahsusi kilichoanzishwa kwa lengo la kutoa majibu ya haraka na yenye tija katika migogoro ya…

Read More

BALOZI SIRRO: SEKTA YA UTALII KIGOMA IMEIMARIKA

Na Asha Mwakyonde, Dodoma SEKTA ya Maliasili na Utalii imeendelea kutekeleza mipango mbalimbali ya kuendeleza nakuhakikisha uhifadhi mzuri wa maliasili sambamba na upatikanajiendelevu wa huduma za kiuchumi, kijamii na kimazingira kwajamii katika serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan. Hayo yaliyasemwa juzi jijini hapa na Mkuu wa Mkoa wa Kigoma,Mkuu…

Read More