Aziza Masoud

TANESCO YAANZA ZOEZI LA UKAGUZI WA MITA KUBAINI UPOTEVU NA WIZI WA UMEME UNAOFANYWA NA BAADHI YA WATEJA

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limetangaza kuanza kwa zoezi la ukaguzi wa mita za wateja nchini ili kudhibiti mapato na kubaini wateja wasio waaminifu wanaotumia umeme bila kulipia. Hayo yamesemwa na Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano na huduma kwa wateja wa TANESCO Irene Gowelle wakati akizindua Ofisi ya Huduma kwa Wateja…

Read More

MHANDISI MRAMBA AFUNGUA MAFUNZO YA TEKNOLOJIA YA NISHATI JUA KWA WATAALAM

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaa KATIBU Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mha. Felchesmi Mramba amefungua mafunzo ya wataalam kutoka taasisi mbalimbali nchini yanayohusu usanifu, utengenezaji na ufungaji wa mifumo ya Nishati ya Jua na matumizi yake. Matumizi hayo ni kuchemsha, kupika, kupoza maji pamoja na kukausha mazao kwa kutumia nishati ya Jua. Akifungua mafunzo hayo…

Read More

WIZARA YA KATIBA NA SHERIA YATUMIA MAONESHO YA NANE NANE KUPUNGUZA MIGOGORO YA ARDHI,KUTOA ELIMU YA KISHERIA

Na Asha Mwakyonde, DODOMA KATIKA kuunga mkono juhudi za Serikali kupunguza migogoro ya kisheria miongoni mwa wananchi, Wizara ya Katiba na Sheria inaendelea kutoa huduma katika maonesho ya Wakulima (Nane Nane) yanayoendelea kitaifa jijini Dodoma. Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Jabir Shekimweri, ametoa pongezi kwa Wizara hiyo baada ya kutembelea banda lao Agosti 6, 2025,…

Read More

TPHPA YAZINDUA TEKNOLOJIA MPYA YA KUBAINI VISUMBUFU VINAVYOATHIRI UZALISHAJI WA MAZAO

Na Asha Mwakyonde, Dodoma MAMLAKA ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania (TPHPA), imezindua matumizi ya teknolojia mpya ya vipimo vya vinasaba (DNA) kwa ajili ya kubaini visumbufu mbalimbali vinavyoathiri uzalishaji wa mazao nchini, ikiwemo magonjwa na wadudu waharibifu. Tanzania imekuwa nchi ya kwanza duniani kuingiza teknolojia hiyo katika sekta ya kilimo. Hayo yamesemwa leo,…

Read More

KILOSA WAMSHUKURU RAIS DK.SAMIA KUWAFIKISHIA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

Na Mwandishi Wetu,Morogoro WANANCHI Wilayani Kilosa Mkoani Morogoro wameshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwafikishia mradi unaosimamiwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) wa kusambaza majiko yaliyoboreshwa maarufu kama majiko banifu kwa bei ya ruzuku ya shilingi 14,700 kwa kila jiko. Wametoa shukrani hizo Agosti 6, 2025…

Read More

WIZARA YA NISHATI ENDELEENI KUSIMAMIA UFANISI WA MIRADI YA NISHATI- DED MKALAMA

Na Mwandishi Wetu,Dodoma MKURUGENZI Wilaya ya Mkalama, Mkoani Singida, Asia Juma Messos ametoa wito kwa Wizara ya Nishati kuendelea kusimamia vyema Taasisi zake ili ziendelee kutekeleza miradi ya Sekta ya Nishati kwa ufanisi na hivyo kuleta maendeleo kwa Wananchi. Messos amesema hayo Agosti 6, 2025 wakati alipoitembelea Banda la Wizara ya Nishati na Taasisi zake…

Read More