WAPAMBE WAANZA RAFU ZA UCHAGUZI MOROGORO MJINI
Na Mwandishi Wetu,MorogoroWAKATI kipyenga cha uchukuaji fomu kwa wagombea wa nafasi mbalimbali ikiwemo Urais, Ubunge na Udiwani kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa ajili ya kuwapata wagombea wa kupeperusha bendera ya chama hicho kikiwa bado hata hakijapulizwa tayari michezo michafu ya inayohusishwa na rushwa imedaiwa kuanza katika jimbo la Uchaguzi la Morogoro Mjini. Hatua hiyo…
KATIBU MKUU UCHUKUZI AWATAKA WADAU KUTUMIA BANDARI KAVU YA KWALA
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam KATIBU Mkuu wa Uchukuzi Prof. Godius Kahyarara amewataka wadau kuendelea kutumia bandari kavu ya Kwala kwani bandari hiyo inasaidia kupunguza msongamano wa foleni ya malori pamoja na mizigo katika bandari ya Dar es Salaam. Kahyarara amesema hayo kwenye kikao cha wadau wa bandari kilichofanyika jijini Dar es salaam na…
MAHAKAMA YATUPILIA MBALI RUFANI THE CITIZEN DHIDI YA MCHECHU
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MAHAKAMA ya Rufani ya Tanzania jana imetoa uamuzi wake katika Rufaa Namba 658 ya mwaka 2023, iliyowasilishwa na Mwananchi Communications Ltd pamoja na Mhariri wa The Citizen Newspaper dhidi ya Nehemia Kyando Mchechu, na kutupilia mbali maombi hayo kwa kukubaliana na maamuzi ya Mahakama Kuu yaliyotolewa Machi 3, 2023. Katika…
UTENDAJI KAZI WA WIZARA YA NISHATI NA TAASISI ZAKE WAIMARIKA KWA ZAIDI YA ASILIMIA 95
Na Mwandishi Wetu,Dodoma Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amewapongeza Watendaji wa Wizara ya Nishati na Taasisi zake kwa kuendelea kuimarisha utendaji kazi na hivyo kuifanya Sekta ya Nishati kuwa na matokeo chanya katika utoaji wa huduma kwa wananchi. Dkt. Biteko ametoa pongezi hizo kufuatia tathmini ya utendaji kazi iliyofanywa na…

