Serikali kuja na ‘MASTER PLAN’ ya miundombinu

Na Mwandishi Wetu Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi inaandaa Mpango Mkuu (Master Plan) wa Miundombinu ya nchi kulingana na mahitaji ya kiuchumi na kijamii itakayowezesha kurahisisha usafiri na usafrishaji kulingana na ongezeko la watu nchini.  Mpango huo utaangazia mtandao wa barabara wa nchi nzima kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) na Wakala wa Barabara za…

Read More

Mchinjita autaka umakamu mwenyekiti ACT- Wazalendo

Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Mkoa wa Lindi, Isihaka Mchinjita amesema anatarajia kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa chama hicho upande wa Tanzania Bara. Kwa sasa nafasi hiyo kwa upande wa Tanzania Bara inashikiliwa na Doroth Semi ambaye ameitumikia kwa kiwango cha kuridhisha. Mchinjita, ametangaza nia hiyo mkoani Lindi ambapo ameweka wazi baada ya…

Read More