DIB KUANZA KUZINUSURU BENKI ZILIZO HATARINI KUFILISIKA
Na Mwandishi Wetu, Dodoma BODI ya Bima ya Amana (DIB) imesema imeanza kutekeleza jukumu jipya la kusaidia benki na taasisi za fedha zinazokabiliwa na changamoto za kifedha ili zisifilisike, hatua inayolenga kulinda fedha za wateja na kudumisha utulivu wa sekta ya fedha nchini. Akizungumza katika Maonesho ya Wakulima ya Kimataifa Nanenane yanayoendelea katika viwanja vya…

