UTAFITI WA MADINI KUFUNGUA FURSA MPYA ZA UWEKEZAJI AJIRA

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Serikali imeongeza kasi ya utafiti wa madini nchini katika hatua inayolenga kufungua maeneo mapya ya uwekezaji, kuongeza ajira na mapato ya Serikali, huku wachimbaji wadogo wakitarajiwa kunufaika kwa kupata taarifa sahihi zitakazowasaidia kufanya uchimbaji wenye tija. Akizungumza katika Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo ya Nanenane yanayoendelea jijini Dodoma, Mkurugenzi Mtendaji wa…

Read Full News

UKAGUZI WA MIGODI WAIMARISHA USALAMA, UHIFADHI WA MAZINGIRA

Tume ya Madini yasisitiza uchimbaji unaozingatia sheria, afya na maendeleo endelevu Na Mwandishi Wetu,Dodoma TUME ya Madini imeendelea kuimarisha ukaguzi wa migodi nchini ili kuhakikisha shughuli zote za uchimbaji zinafanyika kwa kuzingatia sheria, usalama wa wafanyakazi, afya kazini na utunzaji wa mazingira, hatua inayolenga kujenga sekta ya madini yenye tija na endelevu. Akizungumza katika Maonesho…

Read Full News

WAKULIMA WAKUMBUSHWA KUDAI FIDIA ZA BIMA KUPITIA MSULUHISHI BADALA YA MAHAKAMA

Na Mwandishi Wetu, Dodoma WAKULIMA waliokata bima kupitia benki na mawakala wa bima wametakiwa kufahamu haki zao na kutumia Ofisi ya Msuluhishi wa Migogoro ya Bima (TIO) kudai fidia wanapokumbana na migogoro, badala ya kukimbilia mahakamani. Wito huo umetolewa na Msuluhishi Mkuu wa Migogoro ya Bima, Aloyce Mbunito, wakati wa Maonesho ya Nanenane yanayoendelea katika…

Read Full News

WAANDISHI WA HABARI WAVUNJA REKODI KUKATA BIMA ZA MAISHA NANENANE

Na Mwandishi Wetu, Dodoma WAANDISHI wa habari nchini wanaoshiriki Maonesho ya Wakulima Nanenane yanayoendelea kitaifa jijini Dodoma ni miongoni mwa kundi linaloongoza kwa kujitokeza kukata bima za maisha, hatua inayotajwa kuwa ishara ya kuongezeka kwa uelewa kuhusu umuhimu wa huduma hiyo  Akizungumza katika maonesho hayo, Mkurugenzi wa Masoko na Mawasiliano wa NIC Insuarance, Karimu Meshack,…

Read Full News

GST YAWATAKA WACHIMBAJI KUTUMIA TAARIFA ZA KITAALAM KUEPUKA UCHIMBAJI WA KUBAHATISHA

Na Aziza Masoud, Dodoma TAASISI ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) imewataka wachimbaji wa madini na wawekezaji kutumia taarifa za kitaalamu kabla ya kuanza shughuli za uchimbaji na kusisitiza kuwa  hatua hiyo itapunguza hasara zinazotokana na uchimbaji wa kubahatisha na kuongeza tija katika sekta ya madini. Akizungumza jana katika Maonesho ya Wakulima  Nanenane…

Read Full News