NACTVET:ELIMU YA AMALI NI MSINGI WA KUJENGA NGUVU KAZI YA TAIFA
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET) limesema elimu ya amali na mafunzo ya ufundi ndiyo nguzo muhimu ya kuandaa nguvu kazi yenye ujuzi itakayochochea ukuaji wa uchumi, maendeleo ya viwanda na utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Katibu Mtendaji wa NACTVET,…

