JKT YAAHIDI KUENDELEA KUTOA ELIMU YA KILIMO BORA HATA BAADA YA NANENANE
Na Asha Mwakyonde, DODOMA MKUU wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Rajabu Mabele, amesema jeshi hilo litaendelea kuwa karibu na wananchi kwa kutoa elimu ya kilimo bora, ufugaji wa kisasa na uvuvi wenye tija, huku likitumia maonesho ya Nanenane kama jukwaa la kuonesha mchango wake katika maendeleo ya kiuchumi na kijamii. Amesema uwepo…

