Mchinjita autaka umakamu mwenyekiti ACT- Wazalendo

Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Mkoa wa Lindi, Isihaka Mchinjita amesema anatarajia kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa chama hicho upande wa Tanzania Bara. Kwa sasa nafasi hiyo kwa upande wa Tanzania Bara inashikiliwa na Doroth Semi ambaye ameitumikia kwa kiwango cha kuridhisha. Mchinjita, ametangaza nia hiyo mkoani Lindi ambapo ameweka wazi baada ya…

Read More