TAMA:MUITIKIO WA WANAUME KUSINDIKIZA WENZA KLINIKI BADO MDOGO

 Aziza Masoud,Dar es Salaam CHAMA Cha Wakunga Tanzania (TAMA) kimesema kuna  haja yakuendelea kutoa elimu kuhusu  wanaume kuwasindikiza wenza  waliopata ujauzito kliniki  kwakuwa muitikio ni mdogo ambapo asilimia 47  pekee ndo wanatekeleza suala hilo. Akizungumza leo Februari 10, 2025 wakati wakufungua mafunzo ya kutoa huduma za dharula kwa wakunga wa Dar es Salaam kupitia mradi…

Read More

NDEGE KUANZA KUTUA IRINGA FEBRUARY 22

Na Mwandishi Wetu,Iringa WAZIRI wa Uchukuzi Profesa Makame Mbarawawa Uchukuzi amesema mkoa wa Iringa rasmi utaanza kupokea safari za ndege za Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) ifikapo Februari 22 mwaka huu baada ya kiwanja cha ndege cha Nduli kukamilika kwa asilimia 93. Profesa Mbarawa ameyasema hayo jana alipofanya ziara mkoani Iringa kwa ajili ya…

Read More

MGODI WA NDOLELA MWANGA MPYA KWA WANANCHI

Na Mwandishi Wetu,Iringa MGODI wa Mawe wa Ndolela Quarry uliopo kijiji cha Ndolela jimbo la Isimani mkoani Iringa umeanza ujenzi wa Zahanati kwa kushirikiana na wananchi ambayo itaondoa adha ya wananchi hao kutembea umbali mrefu kufuata huduma za afya. Akizungumza katika mahojiano maalum, Mwenyekiti Mtendaji wa Kijiji cha Ndolela, Majuto Dumicus amesema Zahanati hiyo ikikamilika…

Read More

MHANDISI MILANDU:NJOONI IRINGA FURSA ZA MADINI ZIPO

 Na Mwandishi Wetu,Iringa MAKUSANYO  ya maduhuli ya Serikali kupitia Sekta ya Madini katika mkoa wa Iringa yatokanayo na mrabaha, tozo na ada mbalimbali kwa mwaka wa fedha  2024/2025 yamefikia shilingi  milioni 698.05 ikiwa ni asilimia 58.2 ya lengo walilowekewa. Akizungumza katika mahojiano maalum, Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Iringa, Mhandisi AbdulRahman Milandu amesema Mkoa…

Read More