TPDC YATWAA TUZO YA  MAZINGIRA SABASABA

Na Aziza Masoud,Dar es SalaamSHIRIKA la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limeibuka mshindi na kupewa tuzo ya kuwa na mchango mkubwa  katika kulinda mazingira kupitia matumizi ya nishati safi katika Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam(DTIF) maarufu kama Sabasaba. Akizungumza mara baada ya kupokea tuzo hiyo, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa…

Read Full News

TANESCO YANOGESHA SABA SABA KWA KUGAWA  ZAWADI  YA MAJIKO YA UMEME

Na Aziza Masoud,Dar es Salaam SHIRIKA la Umeme nchini (Tanesco) limetoa zawadi ya majiko ya umeme kwa wananci waliofika katika banda lao lililopo katika Viwanja vya Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ambao wamejibu maswali vizuri waliyoulizwa walipotembelea katika banda hilo. Akizungumza na waandishi wa habari leo Julai 7,2025 katika viwanja vya maonesho hayo, Mkurugenzi…

Read Full News

TANZANIA,ZAMBIA KUSHIRIKIANA KUDHIBITI UINGIZWAJI HOLELA WA MAZAO YA MISITU

Na Mwandishi Wetu, Ndola Serikali ya Tanzania, kupitia Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), imeweka msingi wa suluhisho la kudumu kukabiliana na changamoto ya uingizwaji wa mazao ya misitu kutoka Zambia bila vibali halali. Hatua hiyo imefikiwa baada ya kikao kazi maalumu kilichofanyika leo Julai 7, 2025, pembeni mwa Maonesho ya Kimataifa ya Biashara…

Read Full News

DCEA:KILA ANAYEFANYA BIASHARA YA DAWA ZA KULEVYA  TUTAMFIKIA

Na Aziza Masoud,Dar es Salaam MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya(DCEA) imeendelea kutoa tahadhali kwa wafanyabishara wa dawa za kulevya mkono wa sheria utawafikia kwakuwa wamekuwa chanzo kikubwa chakuharibu jamii. Akizungumza leo Julai 5,2025 katika Maonesho ya Biashara ya 49 ya Kimataifa yanayoendelea Sabasaba jijini Dar es Salaam ,Kamishina Jenerali wa Mamlaka…

Read Full News

GCLA YAWAITA WAJASIRIAMALI WANAOHUSIKA NA KEMIKALI KUJISAJILI SABASABA

MAMLAKA ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GGLA) imewataka wajasiriamali wanaojishughulisha na kemikali kufika katika Maonesho ya 49 ya  Kimataifa Biashara Dar es Salaam (DITF) ili kuweza kupata elimu kuhusu kemikali pamoja na kufanya usajili wa bidhaa hiyo Akizungumza Julai 5, 2025 katika viwanja vya maonesho ya Sabasaba Mkurugenzi wa Huduma za Uchunguzi wa…

Read Full News