DAWASA YAWEKA WAZI MIKAKATI YA KUIMARISHA HUDUMA YA MAJI
Na Mwandishi Weru,Dar es Salaam MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imesema inaendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya kimkakati ya kuboresha upatikanaji wa huduma ya maji safi na salama katika Jiji la Dar es Salaam na maeneo ya jirani, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuhakikisha wananchi wanapata huduma ya uhakika…

