MADINI YA ALMASI YA SH BILIONI 1.7 YAKAMATWA YAKITOROSHWA UWANJA WA NDEGE MWANZA

Na Mwandishi Wetu,Mwanza Madini ya almasi yenye thamani ya zaidi ya Sh1.7 bilioni yamekamatwa yakitoroshwa kupitia Uwanja wa ndege wa Mwanza. Akizungumza na waandishi wa habari ljumaa usiku,Mei 23, 2025, Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amesema madini hayo yalikamatwa Mei 18, 2025 kwa ushirikiano kati ya vyombo vya ulinzi na taasisi mbalimbali za Serikali na…

Read More

AZAKI KUKUTANA ARUSHA KUJADILI UTAWALA BORA

Na Aziza Masoud,Dar es Salaam ASASI  za Kiraia (Azaki) zinatarajiwa kukutana kwa siku tano jijini Arusha ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya wiki ya taasisi hizo ambapo miongoni mwa mambo wanayoyatarajia kuyazungumzia ni pamoja na pamoja na Utawala Bora.  Akizungumza jijini Dar es Salaam Leo Mei 22, 2025  Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Foundation For…

Read More