
Maandalizi muongozo mpya wa elimu yapamba moto
*Shule 96 za sekondari zasajiliwa kutoa mafunzo ya amali Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia imesema hakuna mwanafunzi atakayeshindwa kujiunga na sekondari kwa sababu ya ufinyu wa miundombinu ifikapo mwaka 2028 kwakuwa imeshafanya maandalizi ya kupokea wanafunzi wa mikondo miwili ambao watamalizia elimu ya msingi mwaka 2027. Wanafunzi hao ambao ni…