Maandalizi muongozo mpya wa elimu yapamba moto

*Shule 96 za sekondari zasajiliwa kutoa mafunzo ya amali Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia imesema hakuna mwanafunzi atakayeshindwa kujiunga na sekondari kwa sababu ya ufinyu wa miundombinu ifikapo mwaka 2028 kwakuwa imeshafanya maandalizi ya kupokea wanafunzi wa mikondo miwili ambao watamalizia elimu ya msingi mwaka 2027. Wanafunzi hao ambao ni…

Read More

MAONESHO YA UTALII YA ITB-UJERUMANI

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) akimkabidhi zawadi  Rais ambaye pia ni Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Utalii Duniani (World Travel and Tourism Council-WTTC) Julia Simpson mara baada ya kikao cha kujadili namna ya kushirikiana kutangaza utalii, kilichofanyika katika banda la Tanzania kwenye Maonesho ya Utalii  ya ITB jijini Berlin, Ujerumani leo…

Read More

DC Same aritjishwa na hatua za haraka zilizochukuliwa na TANROAD kukarabati daraja la Kihulio

Na Ashrack Miraji, Same kilimanjaro Hatimae mawasiliano ya barabara baina ya wakazi wa Kisiwani-Maore, Ndugu,Kihurio na Bendera wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro yamerejea baada ya wakala wa Barabara nchini kufanikisha matengenezo ya Daraja Kihurio lililokuwa limeharibiwa vibaya na mvua zinazoendelea kunyesha wilayani humo. Mkuu wa wiaya ya Same Kasilda Mgeni akiwa na kamati ya ulinzi…

Read More

Serikali kuja na ‘MASTER PLAN’ ya miundombinu

Na Mwandishi Wetu Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi inaandaa Mpango Mkuu (Master Plan) wa Miundombinu ya nchi kulingana na mahitaji ya kiuchumi na kijamii itakayowezesha kurahisisha usafiri na usafrishaji kulingana na ongezeko la watu nchini.  Mpango huo utaangazia mtandao wa barabara wa nchi nzima kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) na Wakala wa Barabara za…

Read More

ACT Wazalendo walia ukatili kwa mtoto wa kike

Chama cha ACT Wazalendo kimetoa wito kwa Serikali na vyombo vyake vya dola kupunguza muda wa uendeshaji wa kesi za ukatili dhidi ya watoto na wanawake. Chama hicho kimependekeza muda wa uendeshwaji wa mashauri hayo usizidi miezi miwili hadi kumalizika kwake ili haki ionekane kutendeka. Ushauri huo umetolewa leo Oktoba 11, 2023 jijini Dar es…

Read More