KIHENZILE AWATAKA WATALAAM WA LOGISTIKI KUWASAIDIA MADEREVA KUPATA STAHIKI ZAO

Na Aziza Masoud,Dar es SalaamNAIBU Waziri wa Wizara ya Uchukuzi David Kihenzile amezindua rasmi Chama cha Wataalam wa Lojistiki na Usafirishaji Tanzania (TALTA) huku alisisitiza kuangalia maslahi ya madereva likiwemo maslahi ili kuwasaidia wanapopata changamoto kazini. Alisema ni muda sahihi sasa wa chama kukaa chini kuangalia na kupata majibu ya changamoto zilizopo na kuzifanyia maboresho….

Read More

KONGAMANO LA KWANZA LA NISHATI SAFI YA KUPIKIA AFRIKA MASHARIKI LAFANYIKA ARUSHA

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam  Wadau mbalimbali kutoka Nchi za Afrika Mashariki wamekutana jijini Arusha katika  Kongamano la kwanza Nishati Safi ya Kupikia la Afrika Mashariki linalolenga kujadili masuala mbalimbali yatakayowezesha Jumuiya hiyo kuondokana na matumizi ya Nishati isiyo safi ya kupikia na kwenda kwenye nishati safi ya kupikia. Akimwakilisha Naibu Waziri Mkuu na Waziri…

Read More