
BRELA YAWASHAURI WAJASIRIAMALI WADOGO NA KATI KUSAJILI
Na Asha Mwakyonde, DODOMA WAJASIRIAMALI wadogo na wa kati wameshauriwa kuhakikisha wanasajili biashara zao kwa mujibu wa sheria kwa lengo la kuwa huruna kuwawezesha kupata fursa mbalimbali zikiwamo kupata mikopo kutoka za taasisi za kifedha pamoja na kulinda alama za biashara zao. Hayo yalisemwa jana jijini hapa na Afisa Leseni Mwandamizi kutokaWakala wa Usajili wa…