JAB YATOA MWEZI MMOJA KWA WAANDISHI KUJISAJILI

Na Aziza Masoud,Dar es Salaam BODI ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imetoa kipindi cha mwezi mmoja kuanzia tarehe Leo 22 Mei, hadi tarehe 21 Juni, 2025 kwa Waandishi wa Habari wote wanaofanya kazi za kihabari nchini, kujisajili kupitia Mfumo wa TAI-Habari, ili kuomba kuthibitishwa na kupewa vitambulisho (Press Card). Taarifa iliyotolewa Leo Mei…

Read More

LINDI MBIONI KUWA LANGO KUU LA UCHIMBAJI MADINI

 Na Mwandishi Wetu,Lindi MKOA wa Lindi unatarajiwa kuwa lango kuu la uchimbaji wa madini kutokana na kuonekana kuwa na aina zaidi ya 10 za madini mbalimbali yanayopatikana kwa wingi ikiwemo madini ya kimkakati kama Kinywe (Graphite) na Nickel. Akizungumza katika mahojiano maalum, Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Lindi, Mhandisi Emmanuel Shija amesema utafiti uliofanywa…

Read More

AZAKI KUKUTANA ARUSHA KUJADILI UTAWALA BORA

Na Aziza Masoud,Dar es Salaam ASASI  za Kiraia (Azaki) zinatarajiwa kukutana kwa siku tano jijini Arusha ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya wiki ya taasisi hizo ambapo miongoni mwa mambo wanayoyatarajia kuyazungumzia ni pamoja na pamoja na Utawala Bora.  Akizungumza jijini Dar es Salaam Leo Mei 22, 2025  Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Foundation For…

Read More

DCEA  YAFYEKA MASHAMBA YA BANGI KONDOA

Na Mwandishi Wetu,Kondoa  Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), kwa kushirikiana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ya Kondoa pamoja na wananchi wa Kata ya Haubi, wamefanikisha operesheni maalum ya kutokomeza kilimo haramu cha bangi katika maeneo ya Hifadhi ya Milima ya Haubi, wilayani Kondoa, mkoani Dodoma. Akizungumza kwa…

Read More

TAWLA ILIVYOPAMBANA KUSAIDIA JAMII KWA MIAKA 35

Na Aziza Masoud,Dar es Salaam CHAMA Cha Wanasheria Wanawake Tanzania (TAWLA) kimesema ndani ya miaka 35 wamefanikiwa kusimamia mambo sita muhimu yakiwemo kuwafikia zaidi ya wananchi milioni saba (7,000,000) kwa kutoa huduma zakisheria. Akizungumza jijini Dar es Salaam leo Mei 20, 2025 katika kuelekea maadhimisho ya miaka 35 ya TAWLA,Mkurugenzi Mtendaji wa chama hicho Tike…

Read More

BASATA YAMPA KIBALI CHAKUANDAA MISS UNIVERSE MAGESA

Na  Mwandishi Wetu,Dar es Salaam  BARAZA la Sanaa la Taifa(BASATA)limetoa baraka na kibali kwa Mwanamitindo wa Kimataifa na Mrembo wa Tanzania Millen Happiness Magese kupitia kampuni yake ya MILLEN PRIVÉ & Co. LIFESTYLE Bespoke Luxury Lifestyle & Hospitality Management kuandaa  mashindano ya Miss Universe Tanzania. Millen amepata baraka na kibali cha kuandaa Miss Universe Tanzania …

Read More