MRADI WA TACTIC WABORESHA MIUNDOMBINU MANISPAA YA TABORA

Na Mwandishi Wetu,Tabora Mkurugenzi wa Manispaa ya Tabora, Dkt. John Pima amesema kuwa kiasi cha shilingi Bilioni 19.9 zilizopelekwa mkoani humo kupitia mradi wa Uendelezaji Miundombinu ya Miji Tanzania (TACTIC) zimeleta mageuzi makubwa ya kiuchumi na kijamii kwa wananchi mkoani hapo. Akielezea mafanikio hayo, Dkt. Pima amebainisha kuwa miundombinu inayotekelezwa chini ya mradi wa TACTIC…

Read More

KIMWANGA ACHUKUA FOMU YA UDIWANI MAKURUMLA

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MGOMBEA wa nafasi ya udiwani Kata ya Makurumla iliyopo Magomeni mkoani Dar es Salaam kwa tıketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM)Bakari Kimwanga amechukua fomu ya kugombea nafasi hiyo huku akiahidi kuendelea kushirikiana na wana Makurumla kukamilisha miradi ya maendeleo. Akizungumza leo Agosti 19,2025 Bakari Kimwanga amesema wanachama wa Chama Cha Mapinduzi(CCM)…

Read More

WANANCHI WAIPONGEZA SERIKALI UJENZI WA DARAJA LA MAWE KIJIJI CHA BUTURU

Na Mwandishi Wetu,Butiama WANANCHI wa kijiji cha Buturu Wilayani Butiama Mkoani Mara wameipongeza Serikali kwa kuwajengea daraja ambalo linakuwa mkombozi kwa kupunguza vifo vya wajawazito wakati wa kijifungua pamoja na watoto kusombwa na maji wakati wa kwenda shule kutokana na kuwepo na bonde katika barabara kuu ya kijiji hicho. Bw. Maningu kasombi, Mwenyekiti wa kijiji…

Read More

WIZARA YA NISHATI YAJIVUNIA UTEKELEZAJI WA MIRADI SABA KATI YA 17 NCHINI

Na Mwandishi Wetu,Bukombe KATIBU Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mha. Felchesmi Mramba amesema kuwa katika miradi ya kimkakati inayotekelezwa nchini Wizara ya Nishati inatekeleza takribani miradi saba. Mhandisi Mramba ameyasema hayo Agosti 17, 2025 wakati wa uzinduzi wa Mpango wa Uwezeshaji wa Kiuchumi kwa Vijana (YEE) ambao unagusa maeneo yanayopitiwa na mradi wa Bomba la…

Read More

DKT.BITEKO AZINDUA MRADI UTAKAOWAKWAMUA VIJANA KIUCHUMI KATIKA MAENEO YANAYOPITIWA NA BOMBA LA MAFUTA GHAFI (EACOP)

Na Mwandishi Wetu,Bukombe NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko leo amezindua Mpango wa Uwezeshaji wa Kiuchumi kwa Vijana (YEE) ambao unagusa maeneo yanayopitiwa na mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) ikiwa ni jitihada zinazoendelea kufanywa na Serikali katika kuhakikisha kuwa jamii zilizo karibu na miradi zinanufaika…

Read More