
JAB YAWATAHADHALISHA WALIOPANGA KUWASILISHA VYETI FEKI KUJISAJILI
Na Aziza Masoud,Dar es Salaam MWENYEKITI wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB),Tido Mhando ametangaza rasmi kuanza kwa usajili wa waandishi wa habari katika mfumo wa TAI-Habari huku akiwaonya wasiokuwa wanataaluma lakini wamo kwenye tasnia waliojipanga kughushi vyeti ambavyo si halali wakati wa kujaza taarifa zao. Mhando ametangaza tahadhali hiyo leo Mei 19,…