TRA YAHIMIZA BIASHARA HALALI YA MADINI NA KUPONGEZA ULIPAJI KODI KWA HIARI

Na Mwandishi Wetu,Shinyanga UONGOZI wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) umeadhimisha wiki ya huduma kwa wateja na wafanyabiashara mbalimbali wakiwemo wa Madini wanaoendesha shughuli zao katika soko la Madini la wilayani Kahama mkoani Shinyanga na kuwapongeza kwa kuendelea kulipa kodi kwa hiari. Akizungumza katika maadimisho hayo wilayani Kahama Oktoba 09.2015 Kamishna Mkuu wa TRA Bw….

Read More

MWEKEZAJI TOTAL ENERGIES AWATAKA WATANZANIA WALIOPO NJE KUJA KUWEKEZA NCHINI

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam WAFANYABIASHARA wa Tanzania wanaoishi nchi za nje wametakiwa kurudi nchini na kufanya uwekezaji  ili  kuchangia kuinua uchumi na kuendeleza Taifa kwa ujumla. Kauli hiyo imetolewa leo Oktoba 6, 2025 na Mmiliki wa kituo cha mafuta cha Total Energies kilichopo Kimara Godfrey Nyashage wakati akizindua kituo hicho ambacho ni kipya. Alisema…

Read More

OTHMAN AAHIDI KUFANYA MABADILIKO VISIWA VIDOGO VIDOGO UNGUJA NA PEMBA

Na Mwandishi Wetu,Pemba Mgombea Urais wa ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman, ameahidi kuleta mageuzi makubwa katika utoaji wa huduma za kijamii kwa wananchi wanaoishi katika visiwa vidogo vidogo vya Zanzibar, akisisitiza kwamba Serikali yake itahakikisha kila Mzanzibari anahisi kuwa sehemu ya nchi bila kujali umbali alipo. Othman aliyasema hayo mara baada ya kuwasili Kisiwa cha…

Read More

TOTAL ENERGIES YAANZA KUTOA ELIMU YA USALAMA BARABARANI KWA WANAFUNZI DODOMA

‎Na Mwandishi Wetu,Dodoma MKURUGENZI wa Sheria na Uhusiano wa Kampuni ya TotalEnergies Tanzania, Getrude Mpangile, amesema kampuni hiyo imetoa  Elimu ya usalama barabarani katika Shule ya Msingi Mnadani Septemba 24,2025 ikiwa ni mara ya kwanza kufanyika katika Mkoa wa Dodoma,‎‎Amesema elimu hiyo inalenga kuwafundisha watoto sheria na kanuni za usalama barabarani ili waweze kutumia barabara…

Read More