URAMBO NA KALIUA ZIPO TAYARI KWA UWEKEZAJI – NDEJEMBI.
Na Mwandishi Wetu,Tabora WAZIRI wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amesema wilaya za Urambo na Kaliua mkoani Tabora zipo tayari kwa uwekezaji, hususan wa viwanda kwani umeme unaopatikana katika Kituo cha Kupoza na Kusambaza Umeme Urambo unatosheleza na hata kuzidi mahitaji ya sasa. Amesema hayo leo, tarehe 14 Februari 2026, wakati akikagua mradi wa njia ya…

