SERIKALI YAZINDUA AWAMU YA KWANZA YA MRADI WA KUPELEKA NISHATI SAFI KWA TAASISI ZINAZOHUDUMIA WATU ZAIDI YA 100
Unahusisha Shule za Sekondari 52 na Chuo kimoja cha VETA Ni sehemu ya mradi wa Shilingi bilioni 25.8 wa kupeleka nishati safi ya kupikia kwa taasisi 453 Na Mwandishi Wetu,Dodoma NAIBU Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amezindua awamu ya kwanza ya mradi wa kusambaza nishati safi ya kupikia katika taasisi zinazohudumia watu zaidi ya…

