RC DENDEGO AMPA TANO DKT SAMIA UTEKELEZAJI KWA VITENDO MRADI WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
Na Mwandishi Wetu,Singida KATIKA nchi inayokumbwa na changamoto za kiafya, mazingira na umasikini, nishati safi ya kupikia si tu hitaji la msingi bali ni kichocheo cha maendeleo ya kweli kwa watu na Taifa kwa ujumla. Katika kukabiliana na ukataji miti ambapo takribani asilimia 16 ya eneo la nchi tayari limegeuka kuwa janga, Serikali ya Awamu…

