TRA YAKABIDHI VIFAA VYENYE THAMANI YA SH MILIONI 40
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam KATIKA kuadhimisha ya Siku ya Wanawake Duniani yanayoadhimishwa kila mwaka Machi 8, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imekabidhi vifaa tiba vyenye thamani ya shilingi milioni 40 kwa ajili ya kusaidia utoaji wa huduma za afya katika hospitali za Mkoa wa Dar es Salaam. Akizungumza wakati wa hafla ya makabidhiano hayo…

