WAZAZI WASHIRIKIANE NA WALIMU KULINDA WATOTO DHIDI YA UKATILI
Na Mwandishi Wetu,Dar es SalaamMZAZI anapomkabidhi mtoto kwa mwalimu anakuwa na matumaini ya kurudishiwa akiwa salama, akiwa na maarifa na tabia njema zaidi ya alivyomuacha asubuhi. Hata hivyo, nyuma ya sare za shule na tabasamu zao, baadhi ya wanafunzi hubeba majeraha ya kimwili na kihisia yanayosababishwa na vitendo vya ukatili wanavyokumbana navyo nyumbani, shuleni au…

