BALOZI OMAR: MAPINDUZI YA VIWANDA NI MUHIMU KATIKA KUKUZA UCHUMI WA NCHI ZA AFRIKA

Na Benny Mwaipaja, Banjul, Gambia. Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), amesema kuwa nchi za Afrika zinahitaji kuchukua hatua madhubiti za kisera na kikodi ili kuiwezesha sekta ya viwanda kuchangia ukuaji wa uchumi, kukuza ajira, kuimarisha uzalishaji na kupanua mauzo ya nje. Mhe. Balozi Omar amesema hayo aliposhiriki mjadala kuhusu nafasi ya…

Read More