TTCL: UHIFADHI WA TAARIFA NDANI YA NCHI UIMARISHA USALAMA KIDIGITALI

Na Mwandishi Wetu, Dodoma SHIRIKA  la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limesema kuhifadhi taarifa na mifumo ya taasisi ndani ya nchi kupitia Kituo cha Taifa cha Kuhifadhi Taarifa Kidijitali (National Internet Data Centre – NIDC) ni hatua muhimu ya kuimarisha usalama wa taarifa na kulinda uhuru wa kidijitali wa Tanzania. Akizungumza katika Maonesho ya Nanenane yanayoendelea jijini…

Read Full News

TTB YAMPOKEA MR.ALAYA ANAYEWANI REKODI YA GUINNESS DUNIANI

Na Mwandishi Wetu,Rukwa WIZARA ya Maliasili na Utalii kupitia Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), imempokea rasmi nchini mhamasishaji amani duniani, Saddam Suleiman Ali Alaya (Mr. Alaya), anayetekeleza safari ya kihistoria ya The World’s Longest Peace Walk, inayolenga kuweka rekodi ya Guinness World Records kupitia matembezi marefu zaidi ya kuhamasisha amani na mshikamano wa kimataifa. Mr….

Read Full News

NISHATI NI CHACHU YA KILIMO, UCHUMI NA MAENDELEO YA VIJIJINI – MHA. SAIDY

NISHATI NI CHACHU YA KILIMO, UCHUMI NA MAENDELEO YA VIJIJINI – MHA. SAIDY Na Mwandishi Wetu,Dodoma Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mha. Hassan Saidy, amewakaribisha wananchi na wadau kutoka sekta mbalimbali kutembelea Banda la REA katika Maonesho ya Nane Nane 2026 yanayoendelea katika Viwanja vya Nzuguni, jijini Dodoma, ili kujionea mafanikio ya…

Read Full News

NIC YATOA AHUENI KWA WAKULIMA WANAOPATA MAJANGA KUPITIA BIMA YA KILIMO

Na Mwandishi Wetu, DodomaWAKULIMA na wafugaji nchini wamehimizwa kutumia bima ya kilimo na mifugo kama njia ya kujikinga dhidi ya hasara zinazotokana na majanga ya asili, magonjwa na changamoto nyingine zinazoweza kuvuruga uzalishaji na kipato. Wito huo umetolewa na NIC Insurance katika Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo ya Nanenane yanayoendelea katika Viwanja vya Dk. John…

Read Full News