DMI:MUITIKIO WA WANAWAKE KUSOMA FANI YA UBAHARIA UMEONGEZEKA
Na Mwandishi Wetu,Dodoma CHUO Cha Bahari Dar es Salaam (DMI) kimesema muitikio wa wanawake katika fani ya ubaharia kwa sasa umekuwa mkubwa tofauti na zamani ambapo iliaminika kuwa kazi hiyo ni ya kihuni. Akizungumza Agosti 4, 2026 katika Maonesho ya Kimataifa ya Wakulima Nanenane Mkufunzi Msaidizi wa DMI Jacquline Lema alisema kuwa pamoja na wanafunzi…

