WAKULIMA WAKUMBUSHWA KUDAI FIDIA ZA BIMA KUPITIA MSULUHISHI BADALA YA MAHAKAMA

Na Mwandishi Wetu, Dodoma WAKULIMA waliokata bima kupitia benki na mawakala wa bima wametakiwa kufahamu haki zao na kutumia Ofisi ya Msuluhishi wa Migogoro ya Bima (TIO) kudai fidia wanapokumbana na migogoro, badala ya kukimbilia mahakamani. Wito huo umetolewa na Msuluhishi Mkuu wa Migogoro ya Bima, Aloyce Mbunito, wakati wa Maonesho ya Nanenane yanayoendelea katika…

Read Full News

WAANDISHI WA HABARI WAVUNJA REKODI KUKATA BIMA ZA MAISHA NANENANE

Na Mwandishi Wetu, Dodoma WAANDISHI wa habari nchini wanaoshiriki Maonesho ya Wakulima Nanenane yanayoendelea kitaifa jijini Dodoma ni miongoni mwa kundi linaloongoza kwa kujitokeza kukata bima za maisha, hatua inayotajwa kuwa ishara ya kuongezeka kwa uelewa kuhusu umuhimu wa huduma hiyo  Akizungumza katika maonesho hayo, Mkurugenzi wa Masoko na Mawasiliano wa NIC Insuarance, Karimu Meshack,…

Read Full News