TBA YAANZA SAFARI YA KUCHOCHEA UCHUMI KUPITIA MIRADI YA UWEKEZAJI

Na Mwandishi Wetu, Dodoma WAKALA wa Majengo Tanzania (TBA) umeweka mkakati wa kuchochea shughuli za kiuchumi nchini kwa kuwashirikisha wawekezaji katika ujenzi wa nyumba, majengo ya biashara, viwanda na miundombinu ya kuhifadhi na kuchakata mazao. Hatua hiyo inatajwa kuwa na uwezo wa kuongeza thamani ya mazao, kufungua masoko mapya kwa wakulima na wafugaji pamoja na…

Read Full News

MFUMO WA GHALA PROJECT UTAONGEZA UWAZI KWA MKULIMA 

Na Aziza Masoud, Dodoma CHUO Kikuu Cha Dodoma (UDOM) kimetengeneza mfumo  wa kidijitali wa Ghala Project  unaolenga kuongeza  uwazi katika matumizi ya mfumo wa stakabadhi ghalani na kuwawezesha wakulima kupata taarifa za mazao yao kwa wakati. Mfumo huo unaotekelezwa kupitia Ghala Project, unalenga kutatua changamoto zinazowakabili wakulima katika kupata taarifa baada ya kuwasilisha mazao yao maghalani,…

Read Full News