MAENEO YALIOATHIRIWA NA MVUA BARABARA YA DAR-LINDI-MTWARA YOTE NI SHWARI
Barabara ya Dar es salam-Lindi-Mtwara sasa imerejea katika hali ya kupitika baada ya kukamilika urejeshaji…
Na Mwamdishi Wetu,Dar es Salaam Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) imemkabidhi rasmi mwanautalii na mtangazaji wa vivutio vya utalii kutoka Oman, Khalid Hamed Al Barwani, Ubalozi wa Hiari wa Utalii wa Tanzania, ikiwa ni hatua ya kimkakati ya kuimarisha juhudi za kuitangaza Tanzania katika masoko ya kimataifa na kuongeza idadi ya watalii wanaotembelea nchini. Ubalozi…
Na Aziza Masoud,Dar es Salaam Serikali imeanza kuweka msingi wa mfumo wa kisheria na kitaasisi utakaosimamia utekelezaji wa mpango wa kuzalisha umeme wa nyuklia nchini, ikiwa ni hatua muhimu ya kuhakikisha teknolojia hiyo inatekelezwa kwa kuzingatia viwango vya usalama wa kimataifa. Akizungumza leo Juni 5, 2026 Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam SHIRIKA la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) amesema imejipanga kuongeza idadi ya nyumba zitakazounganishwa na huduma ya gesi asilia kwa ajili ya kupikia majumbani ambapo wanatarajia kuunganisha nyumba zaidi ya 1000. Akizungumza katika Maonesho ya Biashara ya 50 yanayofanyika katika Viwanja vya Maonesho ya Biashara ya Dar es Salaam (DTIF)…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) wamezindua Nyumba Janja yenye mfumo wa kisasa wa unaosaidia kuongeza usalama wa nyumba kwa kupunguza hatari za majanga kama moto na ajali nyingine zinazosababishwa na hitilafu za umeme pindi zinapojitokeza. Nyumba hiyo janja ambayo ni kivutio kikubwa katika Maonesho Maonesho ya 50 ya Biashara ya…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam VIJANA wamehamasishwa kuchangamkia fursa zilizopo katika miradi ya nishati safi ya kupikia pamoja na kuchangamkia fursa za uwepo wa mirasi ya usambazaji umeme maeneo ya vijijini na pembezoni mwa miji kwa kuanzisha biashara na shughuli za kuwaletea maendeleo. Rai hiyo imetolewa Juni 4, 2026 na Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati…
Na Aziza Masoud,Dar es Salaam MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la Maawasiliano Tanzania (TTCL) Moremi Marwa amesema wamefanya mabadiliko makubwa yakimfumo ili waweze kutengeneza faida zaidi kupitia huduma wanazozitoa hivyo kwa sasa kipindi cha kutengeneza hasara kimekwisha na sasa wanajiendesha kisasa zaidi. Marwa ametoa kauli hiyo leo Juni 4, 2026 alipotembelea banda la TTCL katika viwanja…
Na Asha Mwakyonde, DAR ES SALAAM WAZIRI HOMERA: SHERIA IMARA NI NGUZO YA MAENDELEO YA UCHUMI Na Asha Mwakyonde, DAR ES SALAAM WAZIRI wa Katiba na Sheria,Dk. Juma Homera, ameeleza kuwamarekebisho ya sheria zinazohusu uingizaji wa bidhaa nchini yameendelea kuboresha mazingira ya biashara na kuchochea maendeleo ya kiuchumi. Dk. Homera ameyasema hayo Julai 3, 2026…
Na Mwandishi Wetu Tanzania, Angola zatakiwa kuongeza biashara, TISEZA yanadi fursa za uwekezaji Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Tanzania na Angola zimetakiwa kuongeza kiwango cha biashara na uwekezaji kati ya nchi hizo mbili kwa kutumia fursa zilizopo katika sekta za viwanda, kilimo, nishati na usafirishaji ili kugeuza uhusiano wa muda mrefu wa kidiplomasia kuwa manufaa…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Tanzania na Urusi zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) ya ushirikiano katika sekta ya utalii, hatua inayolenga kuimarisha uhusiano kati ya nchi hizo mbili na kuongeza fursa za utalii, biashara na uwekezaji. Makubaliano hayo yanaenda sambamba na kuanza kwa safari za moja kwa moja za kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) zinazounganisha…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam WANANCHI wanaotembelea Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) mwaka huu watapata fursa ya kujionea kwa mara ya kwanza sampuli za aina mbalimbali za dawa za kulevya pamoja na kemikali zinazotumika kuzitengeneza dawa hizo. Sampuli hizo zinaoneshwa katika mabanda ya Mamlaka ya Kudhibiti na…