MAENEO YALIOATHIRIWA NA MVUA BARABARA YA DAR-LINDI-MTWARA YOTE NI SHWARI
Barabara ya Dar es salam-Lindi-Mtwara sasa imerejea katika hali ya kupitika baada ya kukamilika urejeshaji…
Na Asha Mwakyonde, DODOMA KATIKA kipindi ambacho Tanzania inaelekea kwenye mageuzi makubwa ya kiuchumi kupitia Dira ya Taifa 2050, Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo imeibuka na mapendekezo mazito yanayolenga kuimarisha sekta ya viwanda, biashara na uwekezaji nchini. Kamati hiyo imeitaka Serikali kuongeza bajeti ya Wizara ya Viwanda na Biashara…
Na Mwandishi Wetu, Tanga Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO Bw. Lazaro Twange ameeleza kutoridhishwa na kasi ya mkandarasi anayetekeleza mradi wa maboresho ya Kituo cha Kufua Umeme cha Hale kutokana na kuchelewa kukamilika kwa Mradi huo ulioanza kutekelezwa tangu mwaka 2022. Bw. Twange ameyasema hayo leo Mei 22, 2026 wakati wa ziara yake ya ukaguzi katika…
Na Mwandishi Wetu,Njombe MRADI mkubwa wa uzalishaji wa kokoto uliopo mtaa wa Kambarage kata ya Njombe Mjini, unatarajiwa kuongeza upatikanaji wa kokoto na kuchochea shughuli za kiuchumi na kuongeza mapato ya Serikali katika Mkoa wa Njombe. Mradi huo unaomilikiwa na mchimbaji mdogo wa madini ya ujenzi, Isaya Boniface, umefungwa mtambo mkubwa wa kusaga kokoto wenye…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limeendelea kuwasisitiza wananchi wanaofanya shughuli zao za kiuchumi katika miundombinu ya umeme kuondoka katika maeneo hayo kwa hiari, kwa kuwa wanahatarisha usalama wa maisha na mali zao. Akizungumza katika muendelezo wa zoezi la kukagua miundombinu ya umeme Mei 18, katika eneo la Mbagala Zakhem jijini…
Na Mwamdishi Wetu,PwaniMAPAMBANO dhidi ya upotevu wa maji yamepokelewa vyema na uongozi wa Mkoa wa Pwani, huku Mkuu wa Mkoa huo, Mheshimiwa Aboubakar Kunenge, akitaka Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) kuongeza kasi ya maboresho ya huduma ya maji ili kukidhi mahitaji yanayoendelea kuongezeka kutokana na kasi ya uwekezaji na…
Na Mwandishi Wetu,Kigali Katibu Mkuu Wizara ya Nishati anayeshughulikia Umeme na Nishati Jadidifu, Mha. Felchesmi Mramba amesema ushirikiano wa kikanda ni muhimu katika kuharakisha matumizi ya nishati ya nyuklia kwa ajili ya kuhakikisha upatikanaji wa nishati salama, ya uhakika na yenye kuchochea maendeleo ya uchumi Afrika. Mha. Mramba ameyasema hayo leo Mei 20, 2026 alipomwakilisha…
Na Mwandishi Wetu,Njombe Serikali imetangaza kuwa Mkoa wa Njombe unatarajiwa kuwa kitovu kipya cha uwekezaji wa madini nchini baada ya kugunduliwa kwa madini adimu ya Rare Earth Elements (REE) ya aina mbili ambayo ni Neodymium Nd na Praseodymium Pr yenye mahitaji makubwa katika teknolojia za kisasa duniani. Akizungumza katika kijiji cha Mkiu Wilaya ya Ludewa,…
📌Utekelezaji wa Mradi wafikia asilimia 82.5 📌Shilingi bilioni 514 kutumika ajili utekelezaji wa mradi 📌 Amtaka Mkandarasi kuongeza kasi mradi huo wa kimkakati ukamilike kwa wakati Na Mwandishi Wetu,Dodoma Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Bw. Lazaro Twange, amesema mradi wa njia ya kusafirisha umeme wa msongo wa kilovolti 400 kutoka Chalinze hadi Zuzu, Dodoma, unatarajiwa kukamilika…
Bwire atangaza vita mpya dhidi ya upotevu wa maji Dar na Pwani Yalenga kushusha upotevu wa maji hadi asilimia 20 Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imetenga siku 90 za kutekeleza mpango maalum wa kukabiliana na changamoto ya upotevu wa maji katika mikoa ya Dar…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam KATIBU Tawala wa Wilaya ya Temeke Bw. Kimeta Mpui amezindua Ofisi mpya ya Wilaya ya KITANESCO Mikwambe ikiwa ni mkakati wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) wa kuendelea kuwahudumia na kusogeza huduma mbalimbali zinazotolewa na TANESCO karibu na wananchi. Akizungumza Mei 16, 2026 wakati wa zoezi hilo amesema uzinduzi wa…