MAENEO YALIOATHIRIWA NA MVUA BARABARA YA DAR-LINDI-MTWARA YOTE NI SHWARI
Barabara ya Dar es salam-Lindi-Mtwara sasa imerejea katika hali ya kupitika baada ya kukamilika urejeshaji…
MD Twange asema TANESCO inajenga vituo vya kuchajia vyombo hivyo nchi nzima Aeleza mpango wa kusambaza majiko sanifu ya umeme takribani Mil 1 Awapongeza Wafanyakazi kwa ubunifu na jitihada za kuwahudumia wateja kwa ufanisi. Na Mwandishi Wetu,Dodoma Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Bw. Lazaro Twange, amewaondoa hofu wananchi kuhusu matumizi ya nishati…
Na Mwandishi Wetu,Dodoma Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Bw. Lazaro Twange, amewaondoa hofu wananchi kuhusu matumizi ya nishati ya umeme katika vyombo vya usafiri, akisema kuwa TANESCO imejipanga kujenga vituo vya kuchajia vyombo hivyo nchi nzima. Mkurugenzi huyo amesema hayo Juni 19, 2026, alipotembelea banda la TANESCO katika Maonesho ya Wiki ya…
Na Mwandishi Wetu,Dodoma Mkurugenzi wa Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Bw. Lazaro Twange, ameipongeza Wizara ya Nishati kwa juhudi zake za kuendelea kuboresha huduma kwa wananchi na kuhakikisha upatikanaji wa huduma za nishati unakuwa wa uhakika katika maeneo mbalimbali nchini. Bw. Twange ametoa pongezi hizo Juni 19, 2026 katika viwanja vya Chinangali, jijini…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), chini ya Mwenyekiti wake, Mhandisi Romanus Mwang’ingo, imefanya ziara katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam kwa lengo la kujionea hali ya upatikanaji wa huduma ya maji na kufuatilia maboresho yanayoendelea kutekelezwa. Akizungumza…
Na Mwandishi Wetu,Dodoma Tume ya Madini imesema kuanzishwa kwa masoko ya madini na vituo vya ununuzi wa madini nchini kumeongeza uwazi katika biashara ya madini na kusaidia kudhibiti utoroshaji wa rasilimali hiyo, hatua iliyochangia kuongezeka kwa mapato ya Serikali. Akizungumza leo katika Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea katika viwanja vya Chinangali jijini…
Na Hassan Kimweri, WAF – Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Afya imetenga fedha za kununua bidhaa za afya ikiwemo afya ya uzazi, mama na mtoto pamoja na uzazi wa mpango na kugharamia mafunzo kwa watumishi wa afya ili kuhakikisha huduma hizo zinaendelea kutolewa kwa ufanisi baada ya kumalizika kwa mradi wa afya ya uzazi na…
Na Mwandishi Wetu,Dodoma “Sasa najua ni nini ninapaswa kuangalia ninapojaza mafuta, kununua sukari au hata ninaponunua gesi ya kupikia.” Ni kauli ya Bw. Bilson Vedastus, mmoja wa wananchi waliotembelea banda la Wakala wa Vipimo (WMA) katika Maonesho ya Kitaifa ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea Viwanja vya Chinangali Park, Dodoma. Banda hilo limekuwa kitovu…
Na Mwandishi Wetu,Pwani Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), ikiongozwa na Mwenyekiti wake, Mhandisi Romanus Mwang’ingo, imekagua zoezi la ufungaji wa pampu mpya za kusukuma maji ghafi katika Mtambo wa Kuzalisha Maji wa Ruvu Juu uliopo Mlandizi, mkoani Pwani na kusisitiza ukamilishaji wake kwa wakati.Pampu hizo,…
Na Mwandishi Wetu,Dodoma Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA) umeshiriki ufunguzi rasmi wa Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma 2026 yanayofanyika katika Viwanja vya Chinangali jijini Dodoma. Maonesho hayo yalifunguliwa rasmi tarehe 17 Juni 2026 na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwan Kikwete. Akizungumza…