
MAENEO YALIOATHIRIWA NA MVUA BARABARA YA DAR-LINDI-MTWARA YOTE NI SHWARI
Barabara ya Dar es salam-Lindi-Mtwara sasa imerejea katika hali ya kupitika baada ya kukamilika urejeshaji…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MAMLAKA ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) inashiriki katika Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa kwa mwaka 2025 yanayofanyika katika Viwanja vya Mwalimu Julius K. Nyerere, vilivyopo barabara ya Kilwa, Jijini Dar es Salaam. Kupitia maonesho haya, TAWA inatumia fursa hii kutangaza bidhaa na huduma mbalimbali zinazohusiana na utalii…
Na Aziza Masoud,Dar es Salaam MAMLAKA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) inaendelea kuwahamasisha vijana na makundi mbalimbali kuendelea kufika katika vyuo vyao kwa ajili yakupata mafunzo ya kazi za majumbani ili kuongeza ufanisi na kupata soko la nje ya nchi. Akizungumza leo Julai Mosi, 2030 katika Viwanja vya Maonesho ya 49 ya…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam OFISI ya Msajili wa Hazina imetoa rai kwa taasisi za umma kutumia maonesho ya 49 ya biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam maarufu kama Sabasaba kama jukwaa la kutangaza huduma zinazotolewa na serikali. Akizungumza Jumatatu, jana katika viwanja vya Saba saba, Sabato Kosuri, ambaye ni Kaimu Mkuu wa Kitengo…
Na Mwandishi Wetu, Morogoro WAKATI Chama Cha Mapinduzi (CCM) kikizuia michango ya wagombea wa nafasi za Ubunge na Udiwani ndani ya Chama hicho, Jumuiya ya Wazazi ya Chama hicho Wilaya ya Morogoro imeingia ‘mtegoni’ kwa kuchangisha michango kwa kigezo cha zawadi kwa Katibu wa Jumuiya ya Wazazi Taifa Ndugu Ally Hapi. Wakizungumza kwa sharti la…
Na Mwandishi Wetu,KondoaMJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya Comrade CPA.Hassan Lubuva amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea Ubunge Jimbo la Kondoa kupitia chama hicho. CPA Lubuva amechukua fomu hiyo leo Juni 30, 2025 na kukabidhiwa fomu hiyo na Katibu wa Wazazi wa chama hicho willaya Juma Seif katika ofisi za…
Na Aziza Masoud,Dar es Salaam ZAIDI ya wafanyabiashara 3000 na wateja 900,000 wanatarajiwa kutembelea banda la benki ya NMB katika Maonesho ya 49 ya Biashara Dar es Salaam (DITF) maarufu kama Sabasaba kwa ajili yakupata huduma mbalimbali ikiwemo kufungua akaunti. Akizungumza leo Juni 30, 2030 katika viwanja vya Sabasaba,Mkuu wa Matawi na Mauzo wa benki…
Na Aziza Masoud,Dar es Salaam MAMLAKA ya Mapato nchini (TRA) imewataka wananchi wanaohitaji kuhudumiwa masuala mbalimbali yakikodi ikiwemo namba ya utambulisho wa biashara (TIN) kufika katika viwanja vya Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa Dar es Salaam (DITF) maarufu kama Sabasaba kuweza kupata huduma hiyo Akizungumza na waandishi wa habari leo Juni 30, 2025…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam KATIKA Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa maarufu kama sabasaba,kampuni ya Laziz Bakery imeibua mshangao na kuvutia maelfu ya watazamaji baada ya kutengeneza keki kubwa yenye uzito wa tani 3 sawa na kilo 3,000 ikiwa ni keki kubwa zaidi kuwahi kutengenezwa Afrika Mashariki. Keki hiyo si tu ya kipekee…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaa. Chama cha ACT Wazalendo kimezindua kampeni ya Operesheni Maji Maji, inayolenga kuwaamsha Watanzania kulinda kura zao kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. Akizungumza na waandishi wa habari leo Juni 29, 2025 jijini Dar es Salaam, Naibu Katibu wa Idara ya Uenezi wa chama hicho, Shangwe Ayo, alisema: “Ziara hizi ni…
Na Mwandishi Wetu, Kondoa MAKADA watano wa Chama cha Mapinduzi (CCM),wamejitokeza na kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na chama hicho kuwania Ubunge wa jimbo la Kondoa mjini,wakiongozwa na Mkurugezi wa Idara ya Habari elimu na mawasiliano kwa umma wa Taasisi ya mabalozi wa Usalama barabarani (RSA)Ali Nurdin maarufu ‘Six’. Wanahabari walioweka kambi katika ofisi za…