KAMISHNA MWENDA AWATAKA WANANCHI KUSAIDIA WATOTO WENYE MAHITAJI 

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam KAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) Yusuph Mwenda ameitaka jamii kusaidia watoto wanaoishi katika mazingira magumu ili waweze kukamilisha ndoto zao  na kufikia malengo waliyojiwekea. Kamisha Mwenda ametoa kauli hiyo wakati akitoa msaada kama sehemu ya kuadhimisha mwezi wa mlipa kodi katika vituo vyakulelea watoto yatima  cha Hisani…

Read More

SERIKALI KUANZISHA JUKWAA LA KIDIGITALI KUWAFIKIA VIJANA

Na Aziza Masoud, Dar es Salaam WIZARA ya Vijana imejipanga kuhakikisha inawafikia vijana kwa urahisi   kwakuanzisha Jukwaa la Kidigitali la Huduma Jumuishi  (Youth Digital One Stop Platform) ili kuwezesha upatikanaji wa taarifa za ajira,mafunzo,fursa za mikopo,masoko na huduma nyingine. Akizungumza jana Waziri wa Vijana Joel Nanauka alisema katika falsafa ya wizara  ya utoaji wa huduma,…

Read More

MAMBO:DEMOKRASIA HAIDAIWI KWA VITISHO

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam WATANZANIA  wameaswa kutofuata mikumbo na kufanya vurugu kwakigezo chakutafuta uhuru wa kisiasa kwakuwa demokra ya kweli haijengwi kwa mashinikizo, vitisho au siasa za misimamo mikali, bali hudaiwa kwakujenga hoja, ushindani wa sera na heshima kwa katiba na sheria za nchi. Akizungumza jijini Dar es Salaam l3o Desemba 23, 2025 aliyekuwa…

Read More

TCB YAZINDUA KAMPENI YA SIKUKUU YENYE REJESHO LA ASILIMIA 10 KWA WATEJA

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam BENKI ya Biashara Tanzania (TCB) imezindua Kampeni Kabambe ya Msimu wa Sikukuu kwa ajili ya kuwazawadia wateja wake wanaofanya malipo kwa kutumia kadi ya Popote Visa, ambapo watapata rejesho la 10% kwa kila muamala unaokidhi vigezo vilivyowekwa na benki. Akizungumza jijini Dar es Salaam katika uzinduzi huo, Alex Dwashi, Mkurugenzi…

Read More

MAYAMBA KUWAWEZESHA VIJANA KIUCHUMI.

Na Mwandishi Wetu,Misenyi Mkuu wa Wilaya Misenyi Hamis Mayamba Maiga amewezesha Vijana kibiashara katika Wilaya hiyo kwa kuwapatia Mahema ili kuboresha Mazingira ya kibiashara nakuweza kukuza Uchumi wao. Mradi huo unatekelezwa na TCCIA Wilaya Misenyi kwa ushirikiano na AGRA, ukiwa na lengo la kukuza biashara za mpakani na kuongeza usalama wa shughuli za kiuchumi. ‎‎Uzinduzi…

Read More