SERIKALI YATOA MAELEKEZO NANE KUIMARISHA KAMPUNI AMBAZO ZINA UMILIKI WA HISA CHACHE
Na Mwandishi Wetu,Arsha SERIKALI imetoa maelekezo nane ya kimkakati yanayolenga kuimarisha utendaji wa kampuni ambazo ina umiliki wa hisa chache, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuharakisha safari ya Tanzania kuelekea hadhi ya nchi ya kipato cha kati cha juu kama ilivyo ainishwa kwenye Dira 2050. Dira hiyo inalenga kukuza uchumi wa Tanzania kutoka ukubwa…

