SERIKALI YATOA MAELEKEZO NANE KUIMARISHA KAMPUNI AMBAZO ZINA UMILIKI WA HISA CHACHE

Na Mwandishi Wetu,Arsha SERIKALI imetoa maelekezo nane ya kimkakati yanayolenga kuimarisha utendaji wa kampuni ambazo ina umiliki wa hisa chache, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuharakisha safari ya Tanzania kuelekea hadhi ya nchi ya kipato cha kati cha juu kama ilivyo ainishwa kwenye Dira 2050. Dira hiyo inalenga kukuza uchumi wa Tanzania kutoka ukubwa…

Read More

FURSA MPYA ZA MADINI ZAWAFIKIA VIJANA

Na Mwandishi Wetu,Dodoma TUME ya Madini imetangaza mipango ya miradi ya maendeleo na fursa mbalimbali kwa vijana katika mwaka wa fedha 2026/2027, ikiwa ni sehemu ya juhudi za Serikali kuweka mazingira wezeshi yatakayowawezesha vijana kushiriki kikamilifu katika Sekta ya Madini. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma leo Machi 16, 2026 kwa niaba ya Katibu…

Read More