MAENEO YALIOATHIRIWA NA MVUA BARABARA YA DAR-LINDI-MTWARA YOTE NI SHWARI
Barabara ya Dar es salam-Lindi-Mtwara sasa imerejea katika hali ya kupitika baada ya kukamilika urejeshaji…
Na Mwandishi Wetu, Lindi VIONGOZI wa dini mbalimbali kutoka mikoa ya Kanda ya Kusini wamewataka vijana nchini kuendelea kulinda amani ya Taifa, kuacha kutegemea taarifa za mitandaoni na badala yake kujitokeza kwa wingi kupiga kura kumchagua kiongozi wanayemtaka katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025. Wito huo umetolewa leo Oktoba 24, 2025, katika Kongamano la…
Mwandishi Wetu Katavi WAKALA wa Nishati Vijijini (REA), imepongezwa kwa kuwezesha na kuhamasisha upatikanaji wa nishati bora na salama kwa wananchi walioko maeneo ya vijijini na pembezoni mwa miji ili watanzania watumie nishati safi na salama nchini. Pongezi hizo zimetolewa leo Oktoba 23, 2025 na Mkuu wa Wilaya ya Mpanda, Mhe. Jamila Yusuf wakati akifungua…
Na Mwandishi Wetu, Mbeya VIONGOZI wa dini kutoka mikoa ya Nyanda za Juu Kusini wamewataka Watanzania kujitokeza kwa wingi kushiriki Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025, huku wakisisitiza umuhimu wa kudumisha amani kabla, wakati na baada ya Uchaguzi huo. Viongozi hao kutoka mikoa ya Mbeya, Iringa, Njombe, Songwe na Rukwa wametoa kauli hiyo leo Oktoba…
Na Mwandishi Wetu,Mbeya Imeelezwa kuwa mradi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme ya msongo wa kilovoti 400 kutoka Iringa hadi Zambia kupitia Tunduma (TAZA) umefikia asilimia 83.45 huku ukitarajiwa kukamilika ifikapo Mei 2026 na hivyo kufungua soko jipya la biashara ya umeme barani Afrika. Akizungumza wakati wa ziara ya kukagua utekelezaji wa mradi huo…
Na Mwandishi Wetu,Mbeya Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Dkt. James Mataragio ameliagiza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na Kampuni yake Tanzu ya Uendelezaji Jotoardhi (TGDC) kuhakikisha kuwa vifaa vyote vya uhakiki wa rasilimali Jotoardhi katika mradi wa Ziwa Ngozi vinafika kwa wakati ili kazi za uhakiki ziweze kumalizika kulingana na muda uliopangwa. Dkt. Mataragio…
Na Mwandishi Wetu,Zanzibar MGOMBEA Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman, amewataka Wazanzibari wote kushikamana kwa pamoja na kumpigia kura katika Uchaguzi Mkuu ujao ili kuinua maisha ya wananchi na kuinusuru Zanzibar. Akizungumza katika mkutano wa kampeni uliofanyika Shumba ya Vyamboni, Jimbo la Tumbe, Mkoa wa Kaskazini Pemba, Othman alisema kuwa…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Siku chache baada ya uzinduzi rasmi wa programu maalum ya Konekt Umeme, Pika kwa Umeme uliofanywa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mheshimiwa Albert Chalamila, Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limeanza kutekeleza kwa mafanikio makubwa zoezi la kuwaunganishia wananchi umeme pamoja na kuwapatia kwa mkopo majiko ya…
Na Mwandishi Wetu, Moshi VIONGOZI wa dini kutoka mikoa ya kanda ya kaskazini, wamewataka Watanzania kulinda amani ya nchi, hasa taifa linapoelekea katika Uchaguzi Mkuu, wakisisitiza kuwa amani ni nguzo muhimu kwa ustawi wa taifa. Viongozi hao kutoka mikoa ya Tanga, Arusha, Manyara na Kilimanjaro wametoa kauli hiyo leo Oktoba 22, 2025 katika Kongamano la…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imekamata jumla ya kilogramu 10,763.94 za aina mbalimbali za dawa za kulevya pamoja na kilogramu 6,007 na lita 153 za kemikali bashirifu, huku watuhumiwa 89 wakikamatwa kuhusiana na uhalifu huo.Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo, tarehe…
Na Mwandishi Wetu,Mtwara WAKAZI wa vitongoji vya Chihanga, Mpilipili, Mkwedu na Majengo Wilayani Newala Mkoani Mtwara wameupongeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kufikisha umeme katika vitongoji hivyo. Wametoa pongezi hizo Oktoba 19, 2025 kwa nyakati tofauti wakati wa kampeni maalum ya kuhamasisha wananchi vitongojini kujiunga na huduma ya umeme inayoratibiwa na REA. “Tunashukuru kufikishiwa…