
WAJUMBE WA CCM MOROGORO WALIZWA KWA KIGEZO CHA ZAWADI KWA ALLY HAPI
Na Mwandishi Wetu, Morogoro WAKATI Chama Cha Mapinduzi (CCM) kikizuia michango ya wagombea wa nafasi za Ubunge na Udiwani ndani ya Chama hicho, Jumuiya ya Wazazi ya Chama hicho Wilaya ya Morogoro imeingia ‘mtegoni’ kwa kuchangisha michango kwa kigezo cha zawadi kwa Katibu wa Jumuiya ya Wazazi Taifa Ndugu Ally Hapi. Wakizungumza kwa sharti la…