DCEA YAKAMATA KILOGRAMU 299.8 ZA MIRUNGI

Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama hususan Jeshi la Polisi, kuanzia Februari  10 hadi 16,  2026, imefanya operesheni maalum katika vijiji vya Marieni na Mhero vilivyopo kata ya Chome, wilaya ya Same, Kilimanjaro na kukamata kilogramu 299.8 . Akizungumza…

Read More

TUTAJENGA VITUO VYA KUPOKEA NA KUPOZA UMEME KILA WILAYA: WAZIRI NDEJEMBI

Na Mwandishi Wetu,Tabora WAZiRI wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amesema Serikali kupitia Shirika la Umeme nchini (TANESCO) itahakikisha inajenga vituo vya kisasa vya kupokea, kupoza na kusambaza umeme katika kila wilaya ili kuhakikisha umeme unaozalishwa unawafikia wananchi kwa uhakika na kuwawezesha kunufaika na fursa mbalimbali za kiuchumi na kijamii. Mhe. Ndejembi ameyasema hayo Februari 14,…

Read More

ITHIBATI YATAJWA KUIMARISHA UAMINIFU WA SEKTA YA HABARI NA UCHUMI WA VYOMBO VYA UTANGAZAJI

Na Mwandishi Wetu,Dodoma Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imesema utekelezaji wa mfumo wa ithibati kwa waandishi na watangazaji wa habari nchini ni hatua ya kimkakati ya kuimarisha uaminifu, weledi na ushindani wa sekta ya habari katika uchumi wa kisasa unaotegemea taarifa sahihi na zenye kuaminika. Akizungumza katika Mkutano Mkuu wa Mwaka wa…

Read More

DKT. MWIGULU ATAKA USHIRIKIANO WA KIKANDA KWENYE MAPAMBANO DHIDI YA SARATANI

 Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa Afrika haiwezi kushinda vita dhidi ya saratani ikiwa kila nchi itafanya kazi peke yake.  Amesema kuwa ili kufikia malengo ya mapambano dhidi ya saratani, kunahitajika kuwepo kwa ushirikiano wa kikanda na wa bara zima katika utafiti, mafunzo, kubadilishana wataalamu na kubadilishana rasilimali, teknolojia…

Read More