MCHECHU AZITAKA KAMPUNI AMBAZO SERIKALI INA HISA CHACHE KUKUMBATIA UONGOZI WA KIMKAKATI

Na Mwandishi Wetu,Arusha MSAJILI wa Hazina, Nehemiah Mchechu, ametoa wito kwa wakurugenzi wa bodi na watendaji wakuu wa kampuni ambazo Serikali ina umiliki wa hisa chache kuachana na usimamizi wa kawaida na kuelekea kwenye uongozi wa kimkakati unaotazama mbele. Wito huo umetolewa wakati wa Mkutano wa Wakurugenzi wa Kampuni ambazo Serikali ina hisa hisa chache…

Read More

FURSA MPYA ZA MADINI ZAWAFIKIA VIJANA

Na Mwandishi Wetu,Dodoma TUME ya Madini imetangaza mipango ya miradi ya maendeleo na fursa mbalimbali kwa vijana katika mwaka wa fedha 2026/2027, ikiwa ni sehemu ya juhudi za Serikali kuweka mazingira wezeshi yatakayowawezesha vijana kushiriki kikamilifu katika Sekta ya Madini. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma leo Machi 16, 2026 kwa niaba ya Katibu…

Read More

WANANCHI MAKURUMLA WALALAMIKIA SHIDA YA MAJI

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam WANANCHI   wa kata ya Makurumla wamelalamikia shida ya maji  yanayosambazwa na Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira (DAWASA) ambapo wanadai kuwa eneo hilo hakuna maji na hata ikitokea yametoka yanakuwa machafu. Wakizungumza kwa nyakati katika kikao maalum cha halmashauri kuu ya eneo hilo Job Mwakajumba ambaye anaishi katika …

Read More