REA ZAMBIA YAPONGEZA UBORA WA MIRADI YA UMEME VIJIJINI TANZANIA
Na Mwandishi Wetu,Dodoma WAKALa wa Umeme Vijijini (REA) kutoka nchini Zambia yapongeza utekelezaji wa miradi ya umeme vijijini inayotekelezwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA). Pongezi hizo zimetolewa leo Juni 24, 2026 na Mtendaji Mkuu wa REA Zambia, Mhandisi Alex Mbumba wakati wa ziara ya viongozi hao…

