WAZIRI WA FEDHA AIPONGEZA TPA KWA KUONGEZA UFANISI WA BANDARI YA TANGA
Na. Joseph Mahumi na Peter Haule, WF, Tanga Waziri wa Fedha wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), ameipongeza Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) kwa kuongeza ufanisi wa Bandari ya Tanga kufuatia uwekezaji mkubwa uliofanywa na Serikali katika kuboresha miundombinu ya bandari hiyo, hatua ambayo imeiwezesha kupokea meli kubwa za…

