
TAASISI ZA FEDHA ZATAKIWA KUFUATA NYAYO ZA TCB KATIKA UWEKEZAJI
Na Aziza Masoud,Dar es SalaamSERIKALI imesema uchumi Tanzania una kiwango kikubwa cha sekta isiyo rasmi hivyo imezitaka taasisi za fedha kuhakikisha zinafanya ubunifu wakuongeza fursa za uwekezaji unaotokana na wajasiriamali. Akizungumza jana wakati wa akizinduzi wa Hatifungani ya Stawi Bondi ya Benki ya Biashara Tanzania (TCB) yenye thamani ya Sh Bilioni 150, Naibu Katibu Mkuu…