SEKTA YA ELIMU YAFUNGUA PAZIA LA BAJETI MPYA 2026/2027, MACHO YOTE KUELEKEZWA BUNGENI KESHO

Na Mwamdishi Wetu,Dodoma BAADA ya kuidhinishiwa jumla ya Sh trilioni 2.44 katika mwaka wa fedha 2025/2026, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeanza rasmi mchakato wa kuwasilisha bajeti yake mpya kwa mwaka 2026/2027, huku wadau na wananchi wakisubiri kwa hamu mwelekeo na vipaumbele vipya vitakavyochochea maendeleo ya sekta hiyo muhimu nchini. Leo Mei 06, 2026,…

Read More

REA YAANDIKA HISTORIA MPYA KOROGWE

Na Mwandishi WetuKorogwe – Tanga Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Kamishna Mstaafu wa Uhifadhi, Mhe. William Mwakilema, amesema Serikali itaendelea kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora ya nishati ya umeme ili kuchochea maendeleo ya kiuchumi na kijamii. Akimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Tanga katika hafla ya kukabidhi mradi wa umeme wa Gridi ya Taifa katika Kata…

Read More

RAIS DK.SAMIA ATOA BILIONI 20,WATENGENEZA MAUDHUI WANUFAIKA NA BILIONI 2

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Waziri wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Paul Christian Makonda amesema Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) kwa kushirikiana na Mfuko wa Utamaduni na Sanaa Tanzania, zitahakikisha zinawawezesha vijana wanaojiajiri katika sekta ya habari kwa kuwapa mitaji ya kukuza, kuendeleza na kuzalisha kazi zao katika ubora…

Read More

UJENZI KITUO CHA KUSUKUMA MAJI GOLANI WAFIKIA ASILIMIA 80, WAONGEZA KICHEKO GOLANI, SARANGA NA UKOMBOZI

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam WAKAZI wa Mtaa wa Golani, Kata ya Kimara, Wilaya ya Ubungo wafurahishwa na kasi ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa kituo cha kusukuma maji (booster pump) katika eneo hilo uliofika asilimia 80 za ukamilishwaji wake na unaotajwa kwenda kihudumia wakazi takriban 5,000 wa eneo la Golani, Ukombozi pamoja na…

Read More

SERIKALI YAONGEZA UWEKEZAJI TAFITI ZA MADINI,YAWAIMARISHA WACHIMBAJI WADOGO

Na Asha Mwakyonde, DODOMA SERIKALI imeendelea kuongeza uwekezaji katika tafiti za kina za madini kwa lengo la kubaini rasilimali mpya na kuongeza mchango wa sekta ya madini katika uchumi wa taifa, sambamba na kuwawezesha wachimbaji wadogo kushiriki kikamilifu katika shughuli za uzalishaji. Hayo ameyasema leo Aprili 27,2026 bungeni ,jijini hapa na Waziri wa Madini, Anthony…

Read More