Kihenzile akoshwa uwekezaji bandari ya Durban
Durban, Afrika Kusini.Naibu Waziri Wa Uchukuz Mheshimiwa David Kihenzile, amesema ziara ya mafunzo katika Bandari ya jiji la Durban imempa uzoefu mpana kuhusu namna uwekezaji wa kimkakati unavyoweza kuongeza ufanisi wa bandari. Akizungumza baada ya kutembelea bandari hiyo yenye takribani gati 58 zinazohudumia mizigo, magari na abiria Naibu Waziri Kihenzile amesema uwekezaji mkubwa katika miundombinu…

