TANZANIA NA DRC ZAKUTANA KUIMARISHA USHIRIKIANO WA USAFIRI NA BIASHARA KIKANDA
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) zimefanya kikao cha pamoja cha wataalam wa sekta ya uchukuzi leo tarehe 18 Machi, 2026 Mkoani Kigoma, chenye lengo la kuharakisha utekelezaji wa miradi ya kimkakati ya usafiri na kukuza biashara kati ya nchi hizo mbili. Ujumbe wa Tanzania katika kikao…

