SERIKALI YAPITIA SHERIA KUONDOA VIKWAZO VYA UWEKEZAJI UCHUMI WA BULUU

Na Aziza Masoud, Dar es Salaam WIZARA ya Katiba na Sheria imesema inaendelea kupitia sheria mbalimbali zinazoweza kuwa kikwazo kwa uwekezaji na matumizi ya rasilimali za uchumi wa buluu, katika juhudi za kuweka mazingira wezeshi kwa sekta binafsi kushiriki zaidi katika kukuza uchumi wa nchi. Hatua hiyo inalenga kuhakikisha sheria na kanuni zinazohusu matumizi ya…

Read Full News

SERIKALI YASISITIZA SAYANSI,TAFITI KUWA KICHOCHEO CHA UCHUMI WA BULUU

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam SERIKALI imesisitiza umuhimu wa kuimarisha sayansi, tafiti na matumizi ya teknolojia katika kuchochea ukuaji wa uchumi wa buluu, ikisema Tanzania ina rasilimali nyingi za bahari, maziwa, mito na maeneo ya pwani ambazo bado hazijatumika kikamilifu. Hayo yameelezwa katika Kongamano la Tano la Kimataifa la Sayansi na Uchumi wa Buluu, lililoandaliwa…

Read Full News

MRADI WA UMEME MPOMVU – GGM KUIMARISHA UPATIKANAJI WA UMEME NA KUCHOCHEA SHUGHULI ZA KIUCHUMI GEITA – MHE. SALOME

📌 Kukamilika kwa njia mpya kutatoa fursa kwa njia ya awali kuendelea kunufaisha wananchi wa mkoa wa Geita na kuchochea shughuli za kiuchumi. 📌 Serikali yawekeza takribani Shilingi bilioni 63.19 kuutekeleza Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) inaendelea kuimarisha miundombinu ya umeme nchini kupitia utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme…

Read Full News

PDPC YAANZA UKAGUZI MKALI WA ULINZI WA TAARIFA BINAFSI NCHINI

Na Asha Mwakyonde, DODOMA TAARIFA binafsi za wananchi zinazoendelea kukusanywa na kuchakatwa na taasisi, mashirika pamoja na wafanyabiashara nchini sasa zitawekwa chini ya uangalizi zaidi, baada ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC),kuanza ukaguzi wa uzingatiaji wa sheria katika maeneo mbalimbali. Akizungumza na waandishi wa habari leo Agosti 28, 2026 jijini Dodoma Mkurugenzi Mkuu…

Read Full News

TANZANIA SASA INA ZIADA YA MEGAWATI 2,375 ZA UMEME, KUANZA KUUZA NJE- NDEJEMBI

Na Mwandishi Wetu,Rufiji Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi, amesema uzinduzi wa Mradi wa Kuzalisha Umeme wa Bwawa la Mwalimu Julius Nyerere ni matokeo ya juhudi kubwa za Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuhakikisha mradi huo unakamilika na kuongeza uwezo wa Taifa wa kuzalisha umeme. Ndejembi amesema hayo leo Jumamosi, Agosti 22, 2026, wakati akizungumza…

Read Full News

ZAIDI YA 95% YA WALIOHUSIKA NA UJENZI BWAWA LA MWALIMU NYERERE NI WATANZANIA- TWANGE

Na Mwandishi Wetu,Rufiji Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Lazaro Jacob Twange, amesema ujenzi wa Bwawa la Kuzalisha Umeme la Mwalimu Nyerere umewezesha Watanzania kupata ujuzi na uzoefu mkubwa katika utekelezaji wa miradi mikubwa, jambo litakalowaongezea uwezo wa kushindana katika soko la ajira ndani na nje ya nchi. Twange amesema hayo leo Jumamosi,…

Read Full News