TUZO ZA WAFUGAJI KUONGEZA TIJA YA MIFUGO
Na Mwandishi Wetu, DODOMA WAFUGAJI nchini wanatarajiwa kuongeza tija na uzalishaji wa maziwa kupitia Mradi wa Tuzo Shindani za Watoa Huduma kwa Ajili ya Tasnia Himilivu ya Maziwa, unaolenga kuhamasisha matumizi ya mbinu bora za ufugaji, malisho bora na huduma zenye tija. Mradi huo unaotekelezwa katika mikoa ya Iringa, Njombe, Mbeya na Morogoro, unalenga kuongeza…

