WAKULIMA WAKUMBUSHWA KUDAI FIDIA ZA BIMA KUPITIA MSULUHISHI BADALA YA MAHAKAMA

Na Mwandishi Wetu, Dodoma WAKULIMA waliokata bima kupitia benki na mawakala wa bima wametakiwa kufahamu haki zao na kutumia Ofisi ya Msuluhishi wa Migogoro ya Bima (TIO) kudai fidia wanapokumbana na migogoro, badala ya kukimbilia mahakamani. Wito huo umetolewa na Msuluhishi Mkuu wa Migogoro ya Bima, Aloyce Mbunito, wakati wa Maonesho ya Nanenane yanayoendelea katika…

Read Full News

WAANDISHI WA HABARI WAVUNJA REKODI KUKATA BIMA ZA MAISHA NANENANE

Na Mwandishi Wetu, Dodoma WAANDISHI wa habari nchini wanaoshiriki Maonesho ya Wakulima Nanenane yanayoendelea kitaifa jijini Dodoma ni miongoni mwa kundi linaloongoza kwa kujitokeza kukata bima za maisha, hatua inayotajwa kuwa ishara ya kuongezeka kwa uelewa kuhusu umuhimu wa huduma hiyo  Akizungumza katika maonesho hayo, Mkurugenzi wa Masoko na Mawasiliano wa NIC Insuarance, Karimu Meshack,…

Read Full News

GST YAWATAKA WACHIMBAJI KUTUMIA TAARIFA ZA KITAALAM KUEPUKA UCHIMBAJI WA KUBAHATISHA

Na Aziza Masoud, Dodoma TAASISI ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) imewataka wachimbaji wa madini na wawekezaji kutumia taarifa za kitaalamu kabla ya kuanza shughuli za uchimbaji na kusisitiza kuwa  hatua hiyo itapunguza hasara zinazotokana na uchimbaji wa kubahatisha na kuongeza tija katika sekta ya madini. Akizungumza jana katika Maonesho ya Wakulima  Nanenane…

Read Full News

WAZIRI MBARAWA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI WA MAKUBALIANO KATI YA TRC NA KAMPUNI ZA ITALIA

Na Mwandishi Wetu,Italia Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa,  leo Agosti 5, 2026, ameshuhudia hafla ya utiaji saini wa Hati ya Makubaliano (MoU)  yakimkakati kati ya Shirika la Reli Tanzania (TRC), Kampuni ya FS Engineering na ITS Engineering za Italia. Hafla iliyofanyika katika Makao Makuu ya Wizara ya Miundombinu na Uchukuzi ya Italia jijini Rome…

Read Full News

CDICD YAONGEZA THAMANI YA BLACK GRANITE

🔸Uchakataji wa kisasa waongeza ushindani wa bidhaa za Tanzania katika soko la ndani na nje 🔸Uwekezaji wa kampuni wafungua ajira kwa vijana na kuchochea maendeleo ya viwanda Na Mwandishi Wetu,Dodoma KAMPUNI ya CDICD Group Limited imeendelea kuimarisha mnyororo wa thamani katika Sekta ya Madini kwa kuchakata madini ya black granite na kuzalisha bidhaa mbalimbali za…

Read Full News

MKANDARASI AKAMILISHA AWAMU YA KWANZA YA UVUTAJI WA NYAYA KATIKA MRADI WA CHALINZE–DODOMA

📌TANESCO yawashukuru wateja kwa uvumilivu na kutangaza awamu ya pili kuanza Agosti 11–14 katika maeneo ya Kikombo na Mkonze – Dodoma Na Mwandishi Wetu,Morogoro SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema Mkandarasi amekamilisha kwa mafanikio awamu ya kwanza ya kazi za uvutaji wa nyaya katika eneo la Mkambarani, Mkoa wa Morogoro, ikiwa ni sehemu ya hatua…

Read Full News

T-PESA YAHAMASISHA VYAMA VYA USHIRIKA KUTUMIA MIFUMO WA MALIPO KWA MKUPUO KUWALIPA WAKULIMA

Na Mwandishi Wetu,Dodoma SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL) kupitia kampuni ya T-Pesa imezitaka kampuni, taasisi na vyama vya ushirika kutumia Mfumo wa Malipo kwa Mkupuo (Bulk Payment) ili kurahisisha malipo kwa wakulima na wanufaika wengine, huku ikipunguza matumizi ya fedha taslimu. Akizungumza katika Maonesho ya Wakulima Nanenane yanayoendelea kitaifa mkoani Dodoma, Afisa Mauzo kutoka Kitengo…

Read Full News