TTCL:WATANZANI WANATAKA HUDUMA BORA NAFUU ZA INTANETI
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limesema kuwa uchunguzi walioufanya wamebaini kuwa watanzania wanahitaji huduma bora za intaneti lakini za bei nafuu na kuahidi kuendelea kuboresha huduma zao kulingana na uhitaji. Akizungumza wakati wa kuzindua kifurushi kipya cha T-Fiber,Meneja wa Promosheni wa TTCL Janeth Maeda,alisema wameendelea kusikiliza maoni,mahitaji, na matarajio ya…

