TAMKU YAJIPANGA KUJENGA KIWANDA CHA KOROSHO TUNDURU
Na Aziza Masoud, Dodoma CHAMA Kikuu cha Ushirika Tunduru (TAMKU LTD) kimeeleza mpango wa kujenga kiwanda cha kuchakata korosho wilayani Tunduru mkoani Ruvuma ili kuongeza thamani ya zao hilo, kuboresha soko na kuinua kipato cha wakulima. Akizungumza katika Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo ya Nanenane yanayoendelea jijink Dodoma, Mjumbe wa Bodi ya TAMKU, Nurudini Rajabu…

