BALOZI OMAR AHIMIZA WENYE MAHITAJI MAALUMU KUCHANGAMKIA ZABUNI ZA SERIKALI KUPITIA NeST
Na Joseph Mahumi na Peter Haule, WF, Tanga Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), ametoa wito kwa wananchi wenye mahitaji maalumu kuchangamkia fursa za kuomba zabuni za Serikali kupitia Mfumo wa Kielektroniki wa Ununuzi wa Umma (NeST), kwa kuwa Serikali imetenga asilimia 30 ya zabuni za umma kwa makundi maalum ili kuongeza…

