TANESCO YABAINI HUDUMA YA UMEME NI YA UHAKIKA KATIKA JENGO LA KITUO CHA MABASI MWENGE
📌 Ukaguzi wa miundombinu wabaini hakuna changamoto ya kukatika kwa umeme mara kwa mara 📌 Wafanyabiashara waipongeza TANESCO kwa utatuzi wa haraka wa hitilafu Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limebaini kuwa huduma ya umeme katika Jengo la Kituo cha Mabasi cha Mwenge inaendelea kuwa ya uhakika baada ya kufanya…

