KILOSA WAMSHUKURU RAIS DK.SAMIA KUWAFIKISHIA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
Na Mwandishi Wetu,Morogoro WANANCHI Wilayani Kilosa Mkoani Morogoro wameshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwafikishia mradi unaosimamiwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) wa kusambaza majiko yaliyoboreshwa maarufu kama majiko banifu kwa bei ya ruzuku ya shilingi 14,700 kwa kila jiko. Wametoa shukrani hizo Agosti 6, 2025…

