DK.GWAJIMA AWATAKA WAHITIMU KUJIENDELEZA KIELIMU

Na Aziza Masoud,Dar es Salaam WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima ametoa wito kwa wahitimu wa Chuo cha Ustawi wa Jamii kutokubweteka na kiwango cha elimu walichokipata bali  wajiendeleze zaidi kwa maslahi mapana ya Taifa, maendeleo yao na jamii zinazowazunguka. Akizungumza leo,Desemba 11,2024 wakati wa mahafali ya 48 ya…

Read More

KATIBU MKUU AFYA ASISITIZA MATUMIZI SAHIHI YA KEMIKALI 

Na Mwandishi Wetu,Dodoma Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Dkt. John Jingu, amewatakawadau wa Kemikali kuzingatia matumizi salama na sahihiya kemikali ili kuchochea maendeleo katika nchi yetukwani kemikali ikitumika vizuri kwa kuzingatia miongozoina faida kubwa tofauti na pale inapotumika vibaya. Dkt. Jingu amesema hayo leo Desemba 11,2024 wakati akifungua mafunzoya siku tatu ya usimamizi na udhibiti…

Read More

BoT YAZINDUA MFUMO WAKUWASILISHA MALALAMIKO

Na Aziza Masoud,Dar es Salaam BENKKuu ya Tanzania (BoT) inatarajia kuzindua mfumo wa kidigitali utakaomuwezesha mtumiaji wa huduma za kifedha kuwasilisha malalamiko, kuanzia Januari mwaka 2025. Kauli hiyo imetolewa leo Desemba 10,2024 na Kaimu Mkurugenzi wa Kurugenzi ya Ustawi wa Huduma Jumuishi za Kifedha, BoT, Nangi Massawe amesema  jijini Dar es Salaam wakati akifungua warsha ya…

Read More

DK.MWIGULU:TUTAENDELEA KUWACHUKULIA HATUA KALI WANAOTOA MIKOPO ‘KAUSHA DAMU’

Na Aziza Masoud,Dar es Salaam. SERIKALI kupitia Wizara ya Fedha  imesema itaendelea kuchukua hatua kali kwa taasisi zote zininazotoa huduma za fedha kinyume cha sheria kwa kutoa mikopo umiza (kausha damu) na kuwakandamiza wananchii. Kauli hiyo imetolewa leo Desemba 10,2024 limetolewa jijini Dar es Salaam na Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba,wakati akizindua Jukwaa la kwanza…

Read More

TCAA INAVYOENDELEA KUPAMBANA NA UHABA WA MARUBANI WAZAWA

Na Aziza Masoud,Dar es Salaam TAKRIBANI vijana 23 wamepata udhamini wa kusomea masomo ya urubani kupitia Mfuko wa Mafunzo wa  Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania  (TCAA Training Fund)  huku wanne kati yao  na  wameshaajiriwa  na mashirika mbalimbali ya ndege yaliyopo nchini.  Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga nchini (TCAA),Salim Msangi ametoa takwimu hizo jana wakati  akitoa taarifa kwa vyombo…

Read More

Adaiwa kumuua mumewe afaidi penzi la ‘Bodaboda’

Na Mwandishi Wetu, Songwe WANANCHI wa Kijjiji cha Isongole, Wilaya ya Ileje mkoani Songwe bado wapo kwenye taharuki wasijue nini kimetokea baada ya mwanakijiji mwenzao kukutwa ameuwawa katika mazingira ya kutatanisha huku mkewe akiwa anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za mauaji. Kwa mujibu wa taarifa, hadi jana Jeshi la Polisi Mkoa wa  Songwe limekuwa…

Read More

 MAENEO YALIOATHIRIWA NA MVUA BARABARA YA DAR-LINDI-MTWARA YOTE NI SHWARI

Barabara ya Dar es salam-Lindi-Mtwara sasa imerejea katika hali ya kupitika baada ya kukamilika urejeshaji wa mawasiliano katika maeneo yote yaliyokuwa yamekatika. Mvua kubwa zilizoambata na Kimbunga Hidaya ziliharibu miundombinu ya barabara hiyo katika eneo la Mikereng’ende, Songas, Somanga na Matandu-Nangurukuru ambayo yalikatika kutokana na mvua zilizonyesha na kuambatana na Kimbunga Hidaya. Juzi tarehe 9…

Read More