KATIBU MKUU KIONGOZI KUFUNGUA MAFUNZO KWA WATENDAJI WAKUU WA TAASISI ZA UMMA

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam KATIBU Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi Dk. Moses Kusiluka anatarajia kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa mafunzo ya siku nne kwa watendaji wakuu wa taasisi, mashirika ya umma na wakala wa serikali. Mafunzo hayo yatakayofanyika kuanzia Julai 28-31, 2025 katika shule ya uongozi ya Mwalimu Nyerere, Kibaha, mkoani Pwani, yanaratibiwa na…

Read More

BODABODA WANAOBEBA MIZIGO MIKUBWA WAONYWA

Na Aziza Masoud, Dar es Salaam JESHI la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani kimekemea tabia ya baadhi ya madereva wa pikipiki kubeba mizigo hatarishi inayozidi ukubwa wa vyombo vyao kama milango, mageti au makabati kwakuwa  inachangia kusababisha ajali za barabarani. Kauli hiyo ameitoa mwanzoni mwa wiki jijini Dar es Salaam na Mkuu wa Usalama Barabarani Chang’ombe,…

Read More