HUDUMA YA MAJI DAR NA PWANI IMEIMARIKA

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imeendelea kuimarisha upatikanaji wa huduma ya majisafi ndani ya eneo lake la kihuduma na kuendelea kupita mtaani kujiridhisha upatikanaji wa huduma hiyo kwa Wananchi katika Mikoa ya Dar es Salaam na Pwani. Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano DAWASA, Everlasting…

Read More

MAJIKO BANIFU 1000 KUUZWA KWA BEI YA RUZUKU KATIKA MAONESHO YA MADINI GEITA

Na Mwandishi Wetu,Geita IMEELEWA kuwa majiko banifu yanayotolewa kwa bei ya ruzuku na Wakala wa Nishati Vijijini (REA), ni majiko yanayotumia kiasi kidogo cha mkaa kulinganisha na majiko mengine ya mkaa. Hayo yamebainishwa na Wataalam kutoka REA wanaoendelea kutoa elimu kwa wananchi katika Maonesho ya Nane ya Kitaifa ya Teknolojia ya Madini yanayofanyika katika viwanja…

Read More

KATIBU MKUU MRAMBA AKUTANA NA KAMPUNI YA NYUKLIA YA CHINA

Na Mwandishi Wetu,Austria KATIBU Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mha. Felchesmi Mramba ameongoza ujumbe wa Serikali ya Tanzania katika kikao na Shirika la Taifa la Nyuklia la China (China National Nuclear Corporation – CNNC), kujadili fursa za ushirikiano katika kuanzisha na kuendeleza mradi wa kuzalisha umeme kwa kutumia teknolojia ya nyuklia. Katika kikao kilichofanyika jijini…

Read More

SHIRIKA LA KIMATAIFA LA NGUVU ZA ATOMIKI (IAEA) KUISAIDIA TANZANIA UZALISHAJI UMEME WA NYUKLIA

Na Mwandishi Wetu,Austria. Shirika la Kimataifa la Nguvu za Atomi (IAEA) limeeleza nia yake ya kuisaidia Tanzania katika mipango yake ya kuanza kuzalisha umeme kwa kutumia nishati ya Nyuklia Hayo yamebainika katika kikao kando ya Mkutano Mkuu wa 69 wa masuala ya Atomic uliohitimishwa tarehe 19 Septemba, 2025 nchini Austria. Kikao hicho kilifanyika kati ya…

Read More

WATUMISHI WIZARA YA NISHATI WAPATIWA ELIMU YA MATUMIZI SAHIHI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

Na Mwandishi Wetu,Dodoma WATUMISHI wa Wizara ya Nishati leo wamepata elimu ya matumizi bora na sahihi ya majiko yanayotumia umeme kidogo ( Induction cookers) baada ya kukabidhiwa majiko hayo na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko hivi karibuni. Dkt. Biteko aliwakabidhi majiko hayo Watumishi wa Wizara ya Nishati ikiwa ni…

Read More

OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI WARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI BWAWA LA KIDUNDA

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam OFISI i ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, wametembelea mradi wa ujenzi wa bwawa la Kidunda, mkoani Morogoro huku ikisema wana nafasi ya kushauri na kusaidia mambo mbalimbali yakiwemo ya kimkataba. Mradi wa Kidunda unagharimu kiasi cha Shilingi Bilioni 335, unatarajia kukamilika ifikapo Juni 2026 na kuchangia kuimarisha huduma ya maji…

Read More