JINSI WASICHANA WANAVYOENDELEA KUPAMBANA KATIKA MITIHANI YA KITAIFA
NaAMwandishi Wetud,Dar es Salaam BARAZA la Mitihani Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya upimaji wa mtihani wa kidato cha nne huku takwimu ikionesha ufaulu kwa wasichana ni asilimia 94.26 ya wasichana wote ambapo kati ya watahiniwa 526,620 waliofanya mtihani huo wasichana 278,108 ambao ni watahiniwa wa shule wamefaulu kwakupata daraja la kwanza mpaka la nne. Akizungumza jijini…

