WATU ZAIDI 1000 WAMETIWA HATIANI KWA MAKOSA YA DAWA ZA KULEVYA MWAKA 2025
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imesema jumla ya mashauri 1200 ya kesi za dawa za kulevya yalipekwa mahakamani ambapo kati ya hayo mashauri 990 sawa na asilimia 75 na kuwatia hatiani watu zaidi ya watu 1000 katika kesi zilizosikilizwa mwaka 2025. Akizungumza katika semina ya…

