DCEA YAVUNJA REKODI UKAMATAJI DAWA ZA KULEVYA 2024

Na Aziza Masoud,Dar es Salaam MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kupitia operesheni maalum kwa mwaka 2024  imekamata  kilogramu 2,327,983.66 za dawa za kulevya ikiwemo kg 448.3 zilizokuwa zimefichwa ndani ya Jahazi lililosajiliwa nchini Pakstani kwa namba B.F.D 16548. Akizungumza jana Januari 9,2025 Kamisha Mkuu wa DCEA,Kamishna Jenerali Aretas Lyimo amesema…

Read More

LALJI  FOUNDATION YAKABIDHI  VIFAA VYA SHULE KWA WATOTO WENYE MAHITAJI  

Na Aziza Masoud,Dar es Salaam WATOTO 400 wenye uhitaji kutika vituo tofauti vya kulelea  watoto  wamekabidhiwa vifaa mbalimbali vya shule vikiwemo mabegi,sare za shule,soksi na viatu. Vifaa hivyo vimekabidhiwa na Taasisi ya Lalji Foundation mbele ya Naibu Waziri Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wanawake na Makundi Maaluumu Mwanaidi Ally Khamis ambapo ameipongeza taasisi kwakuwasaidia watoto hao…

Read More

MAVUNDE PAMOJA NA TAASISI YA DODOMA LEGENDS WATEMBELEA GEREZA KUU ISANGA DODOMA

Na Mwandishi Wetu,DodomaMBUNGE  wa Jimbo la Dodoma Mjini Anthony Mavunde, ametembelea Gereza Kuu Isanga akiambatana na wadau wa maendeleo Dodoma, maarufu kama ‘Dodoma Legends’ jana Desemba 28, 2024 na kupokewa na Kamishna wa Sheria na Uendeshaji wa Magereza (CP) Nicodemus Tenga kwa niaba ya Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza Tanzania (CGP) Jeremiah Katungu. Katika…

Read More