MSIGWA:TUTAFANYIA KAZI HARAKA MAAZIMIO YA KONGAMANO LA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI

Na Mwandishi Wetu,Arusha SERIKALI imesema itahakikisha inafanyia kazi mapendekezo yote yatakayotolewa kwenye maazimio ya pamoja ya Waandishi wa Habari baada ya kuhitimisha Kongamano la Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari kwa mwaka 2025. Hakikisho hilo la Serikali limetolewa leo tarehe 28 Aprili, 2025 na Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na…

Read More

ENVAITA ILIVYOFANYA MAPINDUZI YA KIDIGITALI

Na Aziza Masoud,Dar es Salaam  JAMII imetakiwa kubadilika na kuacha kutumia njia za kizamani zakualika   watu  katika matukio mbalimbali  badala yake watumie njia zakidigitali ili kuokoa muda na kupunguza usumbufu. Akizungumza leo Aprili 28, 2025  Meneja wa Mawasiliano wa Envaita Praygod Mushi amesema utumiaji wa mialiko ya kadi kwa njia ya kidigitali unaokoa mambo mengi…

Read More

DCEA YAKAMATA TANI 14 ZA KEMIKALI BASHIRIFU

Na Aziza Masoud,Dar es SalaamMAMLAKA ya Kupambana na Kudhibiti Madawa ya Kulevya (DCEA) kwakushirikiana na vyombo vingine vya dola, wamefanikiwa kuzuia tani 14 za kemikali bashirifu zilizokuwa ziingizwe nchini kinyume cha sheria. Akizungumza na waandishi wa habari jana Jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mtendaji wa DCEA Kamishna Jenerali Aretas Lyimo alisema mpaka sasa operesheni hiyo…

Read More

VIPAUMBELE VITANO OFISI YA MSAJILI WA HAZINA

Na Mwandishi Wetu,Dodoma Serikali imewasilisha mbele ya Bunge vipaumbele vitano vya Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH) kwa mwaka wa fedha 2025/26 vinavyolenga kuongeza ufanisi wa taasisi za umma, usimamizi wa rasilimali za umma na kukuza mapato yasiyo ya kodi. Vipaumbele hivyo viliwasilishwa Alhamisi, Aprili 24, 2025 na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango…

Read More