
COOP BANK KUSAINI MKATABA WA UDHAMINI NA AGITF KUSAIDIA VIJANA KWENYE KILIMO
Na Asha Mwakyonde, DODOMA BENKI ya Ushirika (COOP BANK), kesho inasaini mkataba wa udhamini watakaoshirikiana naMfuko wa Pembejeo za Kilimo (AGITF), ambao umewapatia zaidi ya bilioni 8. 5 fedha zitakazotumika kama dhamana kuwapatia vijana wa Programu ya Jenga Kesho iliyo Bora (Build a Better Tomorrow- BBT),fedha kutoka katika maeneo atamizi. Hayo aliyasema jana jijini hapa…