
WANANCHI LINDI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA ZA MADINI
Na Mwandishi Wetu,Lindi WANANCHI wa Mkoa wa Lindi wametakiwa kuacha uvivu na badala yake wachangamkie fursa zilizopo kwenye sekta ya madini hususani katika mgodi wa kati wa Elianje uliopo kitongoji cha Namungo, Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi. Rai hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Kijiji cha Chingumbwa, kilichopo Kata ya Namungo, Abdallah Rashid akielezea fursa zilizopo…