
VIONGOZI WA DINI WATAKIWA KUJITENGA NA SIASA
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam VIONGOZI wa dini katika madhebu mbalimbali nchini wameshauriwa kuacha kufanya siasa na wala kuwa sehemu ya kuwa wachochezi kwakuwa wao ni sehemu ya kimbilio pale ambapo nchi itakuwa na changamoto huku wakikumbushwa wajibu wa kuliombea Taifa la Tanzania hasa katika mwaka huu wa Uchaguzi Mkuu. Pia kwa waumini wa dini…