ACT Wazalendo walia ukatili kwa mtoto wa kike

Chama cha ACT Wazalendo kimetoa wito kwa Serikali na vyombo vyake vya dola kupunguza muda wa uendeshaji wa kesi za ukatili dhidi ya watoto na wanawake. Chama hicho kimependekeza muda wa uendeshwaji wa mashauri hayo usizidi miezi miwili hadi kumalizika kwake ili haki ionekane kutendeka. Ushauri huo umetolewa leo Oktoba 11, 2023 jijini Dar es…

Read Full News

Kiongozi wa upinzani aliyechomwa kisu shingoni Korea Kusini ahamishwa hospitali

KIONGOZI wa chama cha upinzani cha Democratic Party cha Korea Kusini, Lee Jae-myung amewahishwa hospitali mjini Seoul baada ya kuchomwa kisu shingoni na mtu asiyejulikana. Shambulio lilitokea wakati Lee alikuwa akikagua eneo lililopendekezwa kufanyika ujenzi wa uwanja wa ndege mpya huko Busan. Mshambuliaji aliyevalia taji la karatasi lenye maandishi “Mimi ni Lee Jae-myung,” kwanza alikaribia…

Read Full News

Mchinjita autaka umakamu mwenyekiti ACT- Wazalendo

Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Mkoa wa Lindi, Isihaka Mchinjita amesema anatarajia kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa chama hicho upande wa Tanzania Bara. Kwa sasa nafasi hiyo kwa upande wa Tanzania Bara inashikiliwa na Doroth Semi ambaye ameitumikia kwa kiwango cha kuridhisha. Mchinjita, ametangaza nia hiyo mkoani Lindi ambapo ameweka wazi baada ya…

Read Full News