MRADI WA TACTIC KUBADILISHA MANDHARI YA JIJI LA DODOMA

Na Mwandishi Wetu,Dodoma MKURUGENZI Mtendaji wa Jiji la Dodoma, Dkt. Fredrick Sagamiko ameeleza kuwa ujio wa mradi wa Uendelezaji Miundombinu ya Miji Tanzania (TACTIC) umekuwa na manufaa makubwa kwa kuwa sehemu ya utatuzi wa changamoto mbalimbali katika jiji hilo. Akizungumza katika mahojiano maalum kiongozi huyo amebainisha kuwa miongoni mwa miundombinu inayojengwa ni pamoja na barabara…

Read More

MRADI WA TACTIC WABORESHA MIUNDOMBINU MANISPAA YA TABORA

Na Mwandishi Wetu,Tabora Mkurugenzi wa Manispaa ya Tabora, Dkt. John Pima amesema kuwa kiasi cha shilingi Bilioni 19.9 zilizopelekwa mkoani humo kupitia mradi wa Uendelezaji Miundombinu ya Miji Tanzania (TACTIC) zimeleta mageuzi makubwa ya kiuchumi na kijamii kwa wananchi mkoani hapo. Akielezea mafanikio hayo, Dkt. Pima amebainisha kuwa miundombinu inayotekelezwa chini ya mradi wa TACTIC…

Read More

MRADI WA TACTIS WALETA NEEMA KWA WANANCHI WA SONGEA

Na Mwandishi Wetu, Ruvuma WANANCHI wa Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma, wameanza kunufaika na uboreshaji wa miundombinu kupitia Mradi wa Uendelezaji Miundombinu ya Miji Tanzania (TACTIC), unaotekelezwa chini ya Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kwa mkopo nafuu toka Benki ya Dunia. Mkurugenzi Mtendaji wa Manispaa ya Songea, Wakili Bashir Muhoja, akizungumza manufaa…

Read More

KIMWANGA ACHUKUA FOMU YA UDIWANI MAKURUMLA

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MGOMBEA wa nafasi ya udiwani Kata ya Makurumla iliyopo Magomeni mkoani Dar es Salaam kwa tıketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM)Bakari Kimwanga amechukua fomu ya kugombea nafasi hiyo huku akiahidi kuendelea kushirikiana na wana Makurumla kukamilisha miradi ya maendeleo. Akizungumza leo Agosti 19,2025 Bakari Kimwanga amesema wanachama wa Chama Cha Mapinduzi(CCM)…

Read More

WANANCHI WAIPONGEZA SERIKALI UJENZI WA DARAJA LA MAWE KIJIJI CHA BUTURU

Na Mwandishi Wetu,Butiama WANANCHI wa kijiji cha Buturu Wilayani Butiama Mkoani Mara wameipongeza Serikali kwa kuwajengea daraja ambalo linakuwa mkombozi kwa kupunguza vifo vya wajawazito wakati wa kijifungua pamoja na watoto kusombwa na maji wakati wa kwenda shule kutokana na kuwepo na bonde katika barabara kuu ya kijiji hicho. Bw. Maningu kasombi, Mwenyekiti wa kijiji…

Read More