WANANCHI KUSHUHUDIA KUPATWA KWA MWEZI LEO
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) inapenda kutoa taarifa ya tukio la kupatwa kwa Mwezi linalotarajiwa kutokea tarehe 7 Septemba 2025. Hali ya kupatwa kwa Mwezi ni tukio linalotokea wakati Dunia inapita kati ya Jua na Mwezi na kusababisha kivuli cha Dunia kuwa katika uso wa Mwezi. Aidha, hali…

