Skip to content
Tuesday, June 9, 2026
  • DAWASA, MADIWANI UBUNGO ZIARANI KUTAFUTA SULUHU YA MAJI
  • HUO CHA BAHARI DAR ES SALAAM (DMI) NA CHUO KIKUU CHA BAHARI CHA DALIAN CHA UCHINA(DMU) WASAINI MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO
  • DK. NCHIMBI KUZINDUA MKAKATI WA MAGEUZI YA MAZINGIRA NCHINI
  • DCEA KUSHIRIKIANA NA VETA KUWAPA MAISHA MAPYA WANAOACHA DAWA ZA KULEVYA
Taifa Tanzania

Taifa Tanzania

Gazeti lako la kila siku

Youtube Live
  • NYUMBANI
  • KITAIFA
    • BIASHARA
    • SIASA
    • UCHUMI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
  • BURUDANI
  • MAGAZETI
  • MAKALA
  • GAZETI TAIFA TANZANIA
  • MAWASILIANO
  • Biashara
  • Burudani
  • Fashion
  • Gazeti Taifa
  • Kimataifa
  • Kitaifa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Siasa
  • Uchumi

Chief Editor

Saroj Mhr

Lorem ipsum is simply dummy text
  • NYUMBANI
  • KITAIFA
    • BIASHARA
    • SIASA
    • UCHUMI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
  • BURUDANI
  • MAGAZETI
  • MAKALA
  • GAZETI TAIFA TANZANIA
  • MAWASILIANO
  • DAWASA, MADIWANI UBUNGO ZIARANI KUTAFUTA SULUHU YA MAJI
  • HUO CHA BAHARI DAR ES SALAAM (DMI) NA CHUO KIKUU CHA BAHARI CHA DALIAN CHA UCHINA(DMU) WASAINI MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO
  • DK. NCHIMBI KUZINDUA MKAKATI WA MAGEUZI YA MAZINGIRA NCHINI
  • DCEA KUSHIRIKIANA NA VETA KUWAPA MAISHA MAPYA WANAOACHA DAWA ZA KULEVYA
Taifa Tanzania

Taifa Tanzania

Gazeti lako la kila siku

Youtube Live
  • NYUMBANI
  • KITAIFA
    • BIASHARA
    • SIASA
    • UCHUMI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
  • BURUDANI
  • MAGAZETI
  • MAKALA
  • GAZETI TAIFA TANZANIA
  • MAWASILIANO
  • Home
  • 2025
  • March
  • Page 2

Highlight News

Kitaifa
DAWASA, MADIWANI UBUNGO ZIARANI KUTAFUTA SULUHU YA MAJI
Kitaifa
HUO CHA BAHARI DAR ES SALAAM (DMI) NA CHUO KIKUU CHA BAHARI CHA DALIAN CHA UCHINA(DMU) WASAINI MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO
Kitaifa
DK. NCHIMBI KUZINDUA MKAKATI WA MAGEUZI YA MAZINGIRA NCHINI
Kitaifa
DCEA KUSHIRIKIANA NA VETA KUWAPA MAISHA MAPYA WANAOACHA DAWA ZA KULEVYA

Month: March 2025

  • Makala

MIAKA MINNE YAKUTEKEZA MTANDAO WA DAWA ZA KULEVYA NCHINI

taifatz1 year ago1 year ago08 mins

DCEA YAELEZA JINSI ILIVYOVUNJA MITANDAO MIKUBWA YA DAWA MITANO Na Aziza Masoud,Dar es Salaam SERIKALI ya Awamu ya sita imetimiza miaka minne madarakani tangu Rais Dk. Samia Suluhu Hassan alipoingia madarakani Machi 19 mwaka 2021 baada ya kifo cha Rais wa Awamu ya Tano Dk.John Magufuli. Tangu aliposhika wadhifa huo Dk.Samia amekuwa akifanya maboresho na…

Read More
  • Kitaifa

Hazina:Uchambuzi wa bajeti kuchochea ufanisi taasisi za umma

taifatz1 year ago1 year ago04 mins

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam TIMU ya wataalamu 53 kutoka Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH) itajifungia kwa wiki mbili, kuanzia Jumatatu (Leo), kufanya uchambuzi wa mipango na bajeti za taasisi na mashirika ya umma, kazi ambayo ni muhimu katika kuhakikisha usimamizi mzuri wa rasilimali za serikali. Mkurugenzi Msaidizi wa Usimamizi wa Mashirika yasiyo ya…

Read More
  • Kitaifa

BARAZA LA SABA LA WAFANYAKAZI WIZARA YA NISHATI LAKUTANA DODOMA

taifatz1 year ago1 year ago02 mins

Na Mwandishi Wetu, Dodoma NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Dkt. Khatibu Kazungu leo Machi 22, 2025 amefungua Baraza la saba la Wafanyakazi wa Wizara ya Nishati ambalo limepitia pamoja na mambo mengine Rasimu ya bajeti ya Wizara kwa mwaka wa fedha 2025/2026 na kupitia hoja mbalimbali zilizowasilishwa na TUGHE. Akifungua baraza hilo Dkt. Kazungu…

Read More
  • Kitaifa

BENKI YA EQUITY YAFUTURISHA WATEJA,WADAU MJI MKONGWE ZANZIBAR

taifatz1 year ago1 year ago02 mins

Na Mwandishi Wetu,Zanzibar BENKI ya Equity siku ya jana iliandaa tukio la kipekee la Iftar, likiwa na lengo la kuleta pamoja wadau muhimu, wakiwemo viongozi, wateja, na wadau mbalimbali, ili kusherehekea kwa pamoja katika mwezi huu wa Ramadhani. Iftar hiyo ilifanyika katika hotel ya Madinat Al Bahr. Katika hotuba yake,Mkuu wa Kitengo cha Malipo kwa…

Read More
  • Kitaifa

KIHENZILE AWAPONGEZA WAFANYAKAZI WIZARA YA UCHUKUZI UTEKELEZAJI MIRADI

taifatz1 year ago1 year ago02 mins

Na Mwandishi Wetu, Dodoma  Naibu Waziri wa Uchukuzi David Kihenzile amewapongeza wafanyakazi wa Wizara ya Uchukuzi pamoja na taasisi zilizo chini ya wizara hiyo kwa kufanya vizuri katika kufanikisha utekelezaji wa miradi mbalimbali ambayo ni mikubwa na ya kimkakati. Kihenzile ameyasema hayo leo Machi 21 2025 wakati wa kufungua mkutano wa baraza la wafanyakazi wa…

Read More
  • Kitaifa

WIZARA YA NISHATI YATAJA MAFANIKIO UTEKELEZAJI MAJUKUMU 2024/2025

taifatz1 year ago1 year ago03 mins

Na Mwandishi Wetu,Dodoma Naibu Waziri Nishati, Judith Kapinga kwa niaba ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ametaja mafanikio yaliyopatikana katika Wizara kwa mwaka 2024/2025 mojawapo ikiwa ni kuimarika kwa uzalishaji wa umeme. Akiwasilisha mafanikio hayo kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Njshati na Madini, leo Machi 21 jijini…

Read More
  • Kitaifa

ETDCO WAKAMILISHA MRADI WA KILOVOLTI 132 TABORA URAMBO

taifatz1 year ago1 year ago02 mins

Na Mwandishi Wetu,Tabora KAMPUNI ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme ( ETDCO) imefanikiwa kuwasha rasmi laini ya msongo wa Kilovolti 132 yenye mrefu wa kilomita 115 kutoka Tabora hadi Urambo ambao unakwenda kuwasaidiawananchi wa Urambo na Kaliua kupata umeme wa uhakika nakuchochea maendeleo. Akizungumza leo Machi 20, 2025 Mkoani…

Read More
  • Kitaifa

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YAPONGEZA UJENZI WA JENGO LA WIZARA YA NISHATI MTUMBA

taifatz1 year ago1 year ago02 mins

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imekagua ujenzi wa jengo la Wizara ya Nishati katika mji wa Serikali Mtumba na kuipongeza Wizara kwa hatua ya ujenzi iliyofikiwa kwa asilimia 94. Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mhe. David Mathayo amesema hayo tarehe 20 Machi 2025, wakati wa ziara ya kukagua…

Read More
  • Kitaifa

GAWIO KUTOKA KAMPUNI AMBAZO SERIKALI INA HISA CHACHE ZAPAA KWA ASILIMIA 236

taifatz1 year ago1 year ago03 mins

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Dar es Salaam. Gawio kwa Serikali kutoka kampuni ambazo ina umiliki wa hisa chache limeongezeka kwa asilimia 236 katika kipindi cha miaka mitano iliyopita. Katika mwaka ulioishia Juni 2024, Serikali kupitia Ofisi ya Msajili wa Hazina ilipokea kiasi cha Sh195 bilioni kama gawio, ikiwa ni ongezeko kutoka Sh58 bilioni miaka…

Read More
  • Makala

NI MIAKA MINNE YA NEEMA KWA MASHIRIKA YA UMMA

taifatz1 year ago1 year ago26 mins

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Dar es Salaam. Safari ya miaka minne ya uongozi wa Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imekuwa ya neema kubwa kwa taasisi za umma na hata kampuni ambazo serikali ina hisa chache. Ndoto ya Mhe. Dkt. Samia, tangu ashike hatamu mwezi Machi, 2021, imekuwa…

Read More
  • 1
  • 2
  • 3

Habari Zote Mpya

  • DAWASA, MADIWANI UBUNGO ZIARANI KUTAFUTA SULUHU YA MAJI
  • HUO CHA BAHARI DAR ES SALAAM (DMI) NA CHUO KIKUU CHA BAHARI CHA DALIAN CHA UCHINA(DMU) WASAINI MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO
  • DK. NCHIMBI KUZINDUA MKAKATI WA MAGEUZI YA MAZINGIRA NCHINI
  • DCEA KUSHIRIKIANA NA VETA KUWAPA MAISHA MAPYA WANAOACHA DAWA ZA KULEVYA
  • WIZARA YA FEDHA YAOMBA SH. TRILIONI 21.3 KWA BAJETI YA 2026/27
  • AFUNGWA MAISHA KWAKUFANYA BIASHARA YA HEROIN
  • DAWASA YATOA ELIMU YA UHIFADHI WA MAJI KATIKA WIKI YA MAZINGIRA
  • MSIGWA:BWAWA LA KIDUNDA NI MRADI WAKIMKAKATI KWA MAJI KILIMO NA NISHATI
  • PROFESA KABUDI:BANGI INAONGOZA KUKAMATWA NCHINI
  • Tanzania yaunga mkono mbinu mpya kifedha zitakazosaidia kuimarisha sekta za usafiri wa anga na afya barani Afrika

Habari Zote

  • Biashara
  • Burudani
  • Fashion
  • Gazeti Taifa
  • Kimataifa
  • Kitaifa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Siasa
  • Uchumi
© 2024 Taifa Tanzania. All rights reserved. Powered By BlazeThemes.